Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Thursday, May 5, 2016

HII NCHI NA TASNIA NAYO NI TAMTHILIA TOSHA,GEEEEZ!!!



WHY IS SHE EVEN APOLOGIZING?
FOR WHAT AND TO WHOM!
WATU MNAIKEMEA HII VIDEO WAKATI MIJIANAUME ISHATUMIANA WATSAPP HII VIDEO MARA NGAPI AND EVEN YOU ZE WANAWAKEZZ,,
WATU MPAKA LEO MNAONGELEA NA KUTUMIANA VIDEO YA ZARI NA MASOGANGE JUST GIVE ME A BREAK NA MAADILI YA KINAFKI
NYUMBA ZA WAGENI ZIMEJAA WANAUME NA WANAWAKE NA MICHEPUKO
NCHI IMEJAA WATOTO WANAOZAA WATOTO NA KUOZESHWA WATOTO
NCHI IMEJAA MAFISADI WANAOIBA MCHANA KWEUPE NA KUEKTIWA MAHAKAMANI AS IF WATAHUKUMIWA THEN YOU WANNA TALK ABOUT MAADILI?!
WHEN ARE WE GONNA TALK ABOUT UNAFKI ULIOWAZUNGUKA,,
LETS BE REAL FOR A MINUTE KINA NANI NI MABINGWA WA KUTUKANA WANAWAKE MITANDAONI,WOMEN!
MIMI SIJADHALILISHWA NA SNURA BCOZ YA VIDEO YAKE THAT IS BETWEEN HER NA WALIOCHEZA BALI NADHALILISHWA NA KUITWA NA KUONA NENO KUMA LIKITUMIWA MITANDAONI BY WOMEN AND MEN AU KUITWA MALAYA JUST BECAUSE NI MWANAMKE NA MTU KAJISKIA TUU LET US TALK ABOUT THAT MAANA HUO NDIO UDHALILISHAJI,,
MAADILI YANAANZA NYUMBANI, IT STARTS AT HOME UNAVYOKUZA WATOTO WAKO NA MAZINGIRA YALIYOKUZUNGUKA,,
UNAMKEMEA SNURA WAKATI TV HIYO HIYO INAONYESHA NICKI MINAJ NA RIHANNA NA HIP HOP VIDEOS ZINAZOONYESHA MAKALIO GERARAHEAAAAAAA I CAN!T DEAL NGOJA NINYWE CHAI KAMA CHURA WA KIJANI Huku NACHEZA KI BOB MARLEYYYYY!!!
AS I WAS SAYING MAIGIZO TUU KAMA KAWA,,GO FIGURE!!
MAKELELE WEEEE FOR WHAT KESHOKUTWA YUKO ONSTAGE SINGING CHURA,I REST MY CASE!,

2 comments:

Anonymous said...

Bora umeliongelea hili suala la chura na udhalilishaji. Nakubaliana na wewe kwamba huo wimbo au hiyo video haijanidhalilisha mimi kama mimi au mama yangu kama ambavyo watu wanatumia viungo vyetu vya uzazi kutudhalilisha wanawake wote kama vile wao hawakuzaliwa na wanawake, hawana dada, bibi, mke, mchumba wala shangazi mwenye kiungo hicho. "Gosh it is high time all of us get to respect and appreciate that divine and sacred organ" And yes i consider it divine and sacred because we all came from a woman.

Wacha nikomee hapa nitajaza ukurasa bure maana nimepandwa na munkari.

NURU THE LIGHT said...


YAANI ungejaza tyuuuu hahahhah munkari u are absolutly right and our k ni sacred basi tu watu wameamua kuliabuse hilo neno na hawaliheshim at all and then eti nimedhalilishwa in jotis voice Come on!