Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Sunday, March 20, 2016

OK THEN!!!






2 comments:

Anonymous said...

Nuru huyu dada ana matatizo. Akija wala hatoi support kwa shughuli za wenzake anajiweka mbali na watanzania na akija bongo anafanya mambo yake anaondoka. nani amsupport? anapewaga promo nyingi sana na media zote tena bure...kapewa hadi vyeo huko muhimbili sasa sijui anataka nini. anapewaga big respect ila wabongo hawamsupport kwasababu hajawahi kumfuata mtu yeyote aombe support kutoka kwa huyo mtu kwa ajili ya campaign zake. Mbona mastar wako poa tu... Jide mbona anawaombaga watu support na wanampa ila bongo ukitaka mtu akusupport from nowhere kwajili eti wewe star utasubiri sana. Sema jamani eeeh mimi nina hiki na hiki guys....naomba mkono wenu tusimamishe hiki kitu. wafuate hata watu watano wenye influence. ila anchotaka huyu dada ni kupapatikiwa na watu na watu hawana shobo nae coz anajitenga sana na watanzania uzungu mwingi mnooo hii iwe lesson kwake. Wenzake wakija bongo wanatoa support kwa watu akina Flavvy kila sehem unamkuta wanaaachaje kumpa support na yeye kukiwa na event yake? Hiyo ni shida yake yeye sio wabongo

Anonymous said...

Mdau apo juuu kunywa soda