Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Tuesday, January 19, 2016

KUMBE THIS HAS TURN INTO THIS,JESUS CAN YOU FIX IT!!!




11 comments:

Anonymous said...

Daa watu wengine wajinga sana ndo maana mitanzania mingine haindelei jamani sasa yote ya nn haya jamani kujibizana mimatusi ya nn yote badilikeni wadada jamani hampati faida yoyote tafteni maisha, ugali wa kulisha makwenu pumbavuuu kabisa.

Anonymous said...

Hayo yote yanaletwa na hizi team. Kwakweli yanakera

Bintinyota said...

Hatari. Honestly wanabore!! Duh I've never seen a such stupid boss!! Bosses are busy making money. Speaks with actions. Uuuuh childish type. Lol!! Compared your cute baby with a dog DNA? Woman you are low level up there

Bintinyota said...

What does this Tandale boy has down there ? Kwiiii

Anonymous said...

you have to go and find out bintinyota, kwi kwi kwiiiiii

Anonymous said...

HIVI WTZ KUMSHABIKIA HUYO MGANDA NDIO NINI?ANGEMUONA HUYO DIMOND WAKATI YUKO TANDALE ANGEMTAKA AENDE ZAKE KWAO HUKO.

Anonymous said...

Acheni ubaguzi sote ni Waafrica unaposema Mganda una maana akutake wewe au?

Anonymous said...

MDIO UJINGA WENU wATANZANIA KUMSHABIKIA MGENI NENDA WEWE UGANDA UONE KAMA UTASHABIKIWA NYIE NDIO MNAOMPA BICHWA KUBWA HUYO LABDA WEWE NDIO UNAMTAKA HUYO DAI ILA ACHENI USHABIKI MAANDAZI NDIO MAANA MNANYANYASWA NA WAGENI KWENYE NCHI YENU.

Anonymous said...

huyu dada wa chini, she has brain ,kaandika jambo la maana sana. respect ruth

Bintinyota said...

Hahahahaha @mdau juu hapo. Ya Muarabu inanitosha. Let kids keep on playing their stupid games. Wanampa Bichwaa

Anonymous said...


Hebu leo ngoja niseme kuhusu sisi Watz na mpaka magazeti yetu tulivyo naive sijui au tunapenda kushobokea wageni. Hivi mshaona Wema au Mtz yoyote ambaye ni celebrity ameandikwa kwenye magazeti ya Uganda hata yale ya Udaku? Hata huyo Diamond akiandikwa kwenye magazeti yao basi ni kwa mabaya na sio kwa mema. Ukiingia Redpeppers Uganda ni aibuuu. Na hata haya majibizano ya Zari na Wema mmeshayaona yameandikwa kwenye magazeti ya Uganda? Why kwa sababu hawataki kumpaisha Mtu ambae sio wa kwao.

Tena Waganda ni wabaguzi hatari, hata hizi habari za Wema zimeandikwa mpaka kwenye BBC Swahili na hata huko Kenya kwenye website ya CITIZEN TV online utaona wameandika kuhusu Wema lakini umeona hata magazeti ya udaku ya Uganda yameandika chochote? Ila sisi Wabongo ndio wajinga wa mwisho mmekazana kumshabikia mgeni anaemtukana Mtanzania mwenzenu na kumpa kichwa, hebu nendeni mkamtukane Zari kwenye mitandao ya huko kwao Uganda kama mtapata support ingawa hawampendi wala hawamshobokei.

Na si kwa Wema tu hata Elizabeth Michael mmemfanyia kitu cha ajabu kabisa, huu ulimbukeni sijawahi kupata kuona dunia nzima isipokuwa Bongo TZ.