Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Thursday, January 21, 2016

HII NCHI AT TIMES,,,

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dr.Joyce Ndalichako ameliagiza Baraza la Mitihani (NECTA) kufuta mara moja mfumo wa upangaji matokeo kwa "GPA" na kurudi katika mfumo wa zamani wa "Divisions" kwa matokeo ya kidato cha 4 na cha 6. Ndalichako amesema amechukua hatua hiyo baada ya kuwataka NECTA wampe sababu za kisayansi za kubadili mfumo kutoka Division kwenda GPA lakini NECTA wameshindwa kufanya hivyo ,,,

No comments: