Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Friday, January 8, 2016

FROM MUHKSIN,HII NCHI INAWEZA KUKUKATA MOYO NA UZALENDO WAKO WOTE UKAPOTEA JUST BECAUSE YA WAPUMBAVU FLANI,KEEP YOUR HEAD UP SAMATTA!!

Ndo tuseme TFF na wizara wameshindwa kabisa kuhakikisha ‪#‎Samatta‬anafika mapema watu wakaenda mpokea mapema pale Air port? kwani ni lazoma atumie tiket aliyopewa na CAF kurudi Tanzania?? au ndo mwendelezo wa viongozi ‪#‎Mazwazwa‬ wasiofikiri?
Mbona management ya Diamond Platnumz inaweza kuandaa akishinda tunzo mbalimbali anawahi kufika na watu wakampokea kwa shangwe pale Air port?
Mbona wenzetu wanaweza?kwanini angalau asije hadi nairobi apumzike hadi asubuhi afike dar kwa KQ?...
Haya maandalizi ya zimamoto yanakera sana.Hii inadhihirisha TFF na wizara hawakujiandaa kwa hii jeshima kwa taifa iliyoletwa na kijana huyu...
Na balozi wetu kule naye hakuliwaza hili?
Kwani yule ofisa toka TFF aliambatana nae Abuja alienda pigamakofi tuu?
Na hili la uraia wake katika vyombo vya mbalimbali na mitandao ya kijamii vepee?au ndo mwendelezo wa Ml.Kilimanjaro uko Kenya?
Tunahitaji malaika kwa kweli..Ifike tym CV za hawa viongozi zipitiwe...
‪#‎hongera_samatta‬..ila wamekuhujumu hawa jamaa..

No comments: