Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Monday, January 25, 2016

Adui wa Mwafrika ni Mwafrika!!

SASA HUYU CHINGY ANATAKA KUM SPONSOR DONALD TRUMP HALAFU DONALD AKAMPA MAKAVU LIVE,,
WHY ON EARTH UNATAKA KUMU ENDORSE MBAGUZI KWENYE CAMPAIGN YAKE ARE THESE FOOLS RETARDED OR WHAT,,
KUNA VITU MANENO HUPOTEA NA UNABAKIA UNATIKISA KICHWA TU,,
MAZACONFUSENESS CHINGY BORA KAKUSHUSHUA MCHANA KWEUPE SASA AIBU YAKO SIJUI UTAIUZIA WAPI,NIMEMALIZA.COM!!

8 comments:

Anonymous said...

We dada, una uhakika kwamba Donald Trump kweli alimjibu huyo Chingy?
Usiwe mwepesi wa kuamini mambo. Kuna mambo mengi tu ambayo huyo Trump anasingiziwa kusema ingawa pia ni kweli kuwa kuna mambo ambayo keshayatolea kauli zilizo tata.

NURU THE LIGHT said...



Hahaha rudi ukimaliza kusoma the heading again,,,Seriously!

Anonymous said...

Enlighten me please sijaelewa? Was Chingy backing him up or throwing shades in the first place?? Thanks

Anonymous said...

KUJIKOMBA.COM WACHA AKIPATEPATE I HATE DONALD WITHA ALL MY HEART

NURU THE LIGHT said...



He was backing him up anon 10.27,,,
eti Marekani inahitaji raisi mfanya biashara aisee,,when are black people gonna learn?'
huyu mtu keshasema openly hataki watu flani,kasema openly weusi ni wavivu,wajinga na hamjui hata uongozi ni nn n then comes weusi n backs him up aisee kuna vitu vinakata moyo kabisa maishani,,,
NA KAKIPATA HASWAAAAA,,

Anonymous said...

There you go again. Ni lini Trump alisema watu weusi ni wavivu wewe? Mnadanganyika kirahisi mno. Mastori ya kutungwa na kusambazwa kwenye mitandao na wapinzani wake mnalishwa na kuyameza bila kutafuna. Unaweza kuweka hapa habari inayohusu Trump kusema weusi ni wavivu ambayo ilirushwa na reputable mainstream media house?

Hivi kweli mnadhani Trump angekuwa kweli kasema weusi ni wavivu wanaharakati wa Marekani kama Al Sharpton na National Action Network yake wangemwacha? Hivi kweli mnadhani chombo cha habari chenye mrengo wa kushoto kama MSNBC wangemwachia tu hivi hivi? Hivi kweli mnadhani wapinzani wake kwenye Republican primaries wasingetengeneza matangazo dhidi yake?

Acheni kuwa wajinga na wepesi wa kuamini amini. Donald Trump ni kweli keshatoa kauli zenye utata lakini hilo kuhusu watu weusi kuwa ni wavivu na wajinga si kweli hata kidogo. Kama ni kweli naomba uweke hapa source ya chombo cha habari cha kuaminika [na siyo fringe newspapers za Afrika huko] ambacho kilirusha hizo habari za yeye kusema hivyo.

Hivi mnazijua media entities za Marekani au mnazisikia tu? Yaani kweli kabisa aseme hivyo kuhusu watu weusi halafu asishikiwe bango? Kama angesema hivyo mbona hata chama chake kingemkana. Hata Hilary Clinton mnadhani angekaa kimya tu bila kusema kitu? Mnadhani Obama naye angekaa kimya tu bila kusema kitu? Mnadhani US Attorney General Loretta Lynch angekaa kimya tu?

Kuweni werevu kidogo na muwe mnajiridhisha kwanza kabla ya kuamini amini tu mambo. Si kila kinachoandikwa kwenye mitandao basi ni cha ukweli.

NURU THE LIGHT said...



My heading says it all,,
Na wale weusi wanaomsupport Trump cjui ni masanamu
Nyie ndio wale during slavery mlikuwa mkireport weusi wenzenu wanaotaka kutoroka from their master,,
You just proved my point Anon kuwa adui wa mweusi ni ppl like you
Unataka source wakati unajua what Donald stands for?hahahhahahahah geraraheaaaa

Anonymous said...

Well said Nuru!!(Anon 10.27) And to clear the air its never that serious,sisi wote watoto wa baba mmoja our color differences doesn't apply to our "souls" ngozi hurudi kuwa mavumbi cha msingi ni upendo na umoja duniani kote. NIMEMALIZAAA.COM