Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Saturday, November 14, 2015

TIME USUALLY REVEALS ALOT BUT MOST IMPORTANTLY THE TRUTH,NIKKI MBISHI BABA MALCOLM HAD THIS TO SAY!!!



Mawazo/Maoni Yangu:
Obviously kwa utafiti wangu mdogo naweza kusema muziki wetu wa Tz unakufa gradually na wale wanaojiita wadau wanajua hilo ila kwa kuwa washachukua vyao mapema na watu wao basi hakuna namna zaidi kufunga na kufanya maombi tu.
Muziki umekuwa kama kitu cha kifamilia,yaani kama sio mwanafamilia kupata nafasi kwenye nyanja yoyote itabaki ndoto kwenye career yako hata uwe una uwezo wa Nabii Mussa.
Huwa najiuliza hivi,kama wadau wameweza kuwabrand wasanii watano Tz nzima wakafika hatua fulani kisanaa,kwanini wanashindwa kubrand wasanii 100 ambapo uwezo huo wanao kupitia patnerships zao walizonazo na makampuni makubwa.
Tz imelaaniwa kwenye sekta ya sanaa,michezo na burudani wanaojiita wadau hawana hata aibu kujifanya wanajivunia mafanikio.
Msanii gani Tz amesainiwa na Label kubwa Duniani ukimtoa Rose Mhando?
Tz ni kujuana kwingi kuliko kuweka professions mbele,kila fursa inatumika kunufaisha wachache na kukandamiza wengi,kitu kinachopelelea hata baadhi ya wanahiphop wanaojiita wanaharakati kuwa WANAFIKI wa kutupa wakiofia watapotezwa kwenye game au kukosa vijisenti vya wao kutamba mjini na mnawajua hao watu.
Msanii mwenye recognition na reputation kubwa anatengeneza project nzuri ambayo ni feasible na reasonable,anakwenda kupropose for sponsorship kwenye kampuni fulani anazungushwa mpaka anajuta kuwa msanii ili hali tunawafahamu watu ambao hata wakiandaa show vichochoroni wanadhaminiwa na makampuni makubwa licha ya ubovu wa contents zao.
Itaendelea...,,


MDA HALISI UKIFIKA MENGI YATAJULIKANA,,
NIKKI YOU ARE A TALENTED BEING TRUST ME WHEN I SAY MDA UKIFIKA UTASHINE KULIKO,,
MDA HALISI UKIFIKA WADAU WATAJUA MENGI,KWANI SASA WANAJUA KILO MOJA KWENYE GUNIA LA KILO HAMSINI,,
MDA HALISI UKIFIKA TUTA SEPERATE THE FAKE ONES AND THE REAL ONES,TALENT THAT IS,,
MDA HALISI UKIFIKA NDIPO INDUSTRY YA MZIKI ITAKUWA SASA HIVI NI MAIGIZO TUU,,
MDA HALISI UKIFIKA TALENT AND ART WILL BE THEE WINNER!!!

No comments: