Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Sunday, November 15, 2015

AND THE NOMINEES ARE,KUWANIA USPIKA!!!

 HUYU NDIYE YULE MBUNGE ALIMPIGA YULE KAKA WAKATI WA KAMPENI,,JOB NDUGAI!
 ALIYESIMAMIA SHERIA YA MITA 200 WAKATI WA UCHAGUZI,DR Tulia Ackson Mwansasu
Pia ni Mwana sheria Mkuu wa Serikali na mengine mengi,she has a fantastic CV!!
ABDULLAH MWINYI, HUYU NI MTOTO WA MWINYI AMA?
YES HE IS PLUS NI MBUNGE WA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI,NIMEMALIZA.COM
Kulikuwa na majina 21 hawa ndio Top 3 na kesho atatangazwa msingi,,Nitarudi!

1 comment:

Anonymous said...

OkaY..... Ka huyo kaka ni mtoto wa Mwinyi( Rais wa Zamani) no please...... Tunataka fresh blood ambayo haitegemei baba wala mama!!! Hatutakiiiiiiii kubebana Bungeni!! No please! Tunataka mapambano bila kubebwaaaaaaaa! Asanteni...