Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Tuesday, November 17, 2015

HAPA MAJANGA TUU,MALIZENI MPAKA KOKOTO TUBAKIE NA UKWAJU TUU!!!


KOBE 201 WALIOKUWA WAKISAFIRSHWA NJE YA NCHI WAKAMATWA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA J.K NYERERE
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt.

Adelhelm Meru akikagua mabegi matano yenye Kobe 201 yaliyokamatwa usiku wa
kuamkia leo na askari wanyamapori kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na
usalama katika uwanja wa Kimataifa wa J.K. Nyerere jijini Dar es Salaam.,

No comments: