Juzi nimeongelea kuhusu kuvuka mipaka na huu pia ni mfano wa kuvuka mpaka,,
HIZI KAULI JAMANI ZA NINI,,
ZINAJENGA NINI NA KUELIMISHA NINI ESPECIALLY KUONGELEA KITU SERIOUS KAMA KIFO, ,
HIZI KAULI WATU WANAZOZITOA HIKI KIPINDIo NYENGINE KIUKWELI ZINAVUKA MIPAKA NA HAZIJENGI BALI KUBOMOA TUU,,
THERE COMES A TIME TUFIKIRIE NA TUWE NA DHAMIRA KUWA SISI WOTE NI WATANZANIA NA HAKUNA ALIYEKATAZWA KUMCHAGUA YULE ANAYEONA ATAFAA KUWA RAIS WAKE ILA MUWE NA MIPAKA KWENYE KAULI ZENU ESPECIALLY KAMA WEWE NI KIOO CHA JAMII,,
NANUKUU KESHENI MKIOMBA KWA MAANA HAMJUI SIKU WALA SAA NA KIFO NI SIRI YA MUNGU,,NIMEMALIZA.COM!

2 comments:
Kama kasema mane no haya nimemdharau sana.
I like her much but she better go back to a silence We a!!
kwani ni ugomvi jamani?? hujalazimishwa kumpa Lowasa, I mean its your right! seriously ppl need a lot of growing up to do! ukatishe maisha yako kisa kura??? sio bure, your so thick am sorry to say that.
Post a Comment