POLE MWAYA MAANA SIJUI NIONGEE NINI!!!
MKAZI wa Mtaa wa Nundu, Jimbo la Ilemela ameshindwa kupiga kura baada ya kukuta picha tofauti na yake kwenye daftari la Wapiga kura. Picha iliyokutwa kwenye daftari ni ya mwanamke.#UchaguziTanzania #UchaguziWetu2015
source;Mwnanchi
No comments:
Post a Comment