Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Tuesday, September 15, 2015

UCHAGUZI 2015!!!

"Nimeamua kuondoka Chadema na vuguvugu la Ukawa kwa sababu mbalimbali: moja ni ubovu wa kimfumo katika uongozi, uratibu na misimamo. Fujo: Wafuasi wengi Ukawa bado wana muhemko kwenye kufanya mambo. Naamini uongozi wa nchi unahitaji busara kuhimili kazi. Tumefeli hilo. Kwa siku 39 zilizobaki nitaongea na mamilioni ya mashabiki wangu kuhusu msimamo wangu. Naondoka Chadema, nitamuunga mkono Magufuli". Hayo ni baadhi ya maneno aliyoandika Aunt Ezekiel
KUTOKA kwa Aunt Ezekiel.




2 comments:

Anonymous said...

Nuru, mbona Aneti Mapozi hajaweka contacts zake?

NURU THE LIGHT said...



hhahahhaah kweli labda kasahauuuuuu hahahhaahh