Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Monday, September 14, 2015

BEST NASSO TUNASHKURU KWA KUTULETEA HABARI NA TUTAMSAIDIA TUTAKAVYOWEZA,POLE SANA MR NICE!!!

Hey watanzania huyu ni ndugu yetu Mr nice anaumwa sana yupo kahama mkoani shinyanga katika hospitali ya frolida hebu tumuombeeni mungu amnusuru na apone mapema na hata ukiweza kumtembelea itakua vizuri sana asanteni kwa maombi yenu,,
NAJUA HII PICHA INAWEZEKANA IKASOMWA KIVINGINE BUT ITS THE ONLY ONE I HAVE,,
TUKO NAWE KIMAOMBI NA MUNGU AKUPE NGUVU NA UPONE BECAUSE WATU BADO WANAKUPENDA NA KUKUHITAJI,,

3 comments:

Anonymous said...

Maskini pole...Mungu akupe nguvu. ....

Anonymous said...

Mungu akupe nafuu unayo hitaji. Amen.

Anonymous said...

Waliokuwa wanakutumia majukwaani 2005 sasa ivi hawakuangalii tena, ila sisi wananchi tutakusaidia kadri uwezavyo, wewe ni ndugu yetu, tunajua ulipanda jukwaani upate chochote but, nawashauri wasanii wa sasa wakuangalie kama kaka yao, wajifunze na kuwajua wanasiasa vyema. Pole sana bro