Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Tuesday, July 21, 2015

UKISTAAJABU YA JANA YA LEO YANAKUFANYA UISHIWE NGUVU,A NEW SAGA!!!



INASEMEKANA NI MTU WA CLOUDSFM AMBAE ANA OWN THIS ACCOUNT,,
SASA ANAPOSTIJE KITU KAMA HIKI KWA POSITION YAKE NA KAMPUNI ANAYOIFANYIA KAZI ANAIFANYA IONEKANAJE KWA JAMII??
SOMETIMES LAZIMA TUFIKIRI VYA KUANDIKA ESPECIALLY KAMA TUKO NYUMA YA KITU AMBACHO UTAWAFANYA WOTE HAPO WAONEKANE TOFAUTI NA JAMII INAVYOWACHUKULIA,,
CLOUDSFM WANASEMA KUWA HII ACCOUNT ILIKUWA HACKED NA NDIO KUPOSTIWA HIKI KITU,,

3 comments:

Anonymous said...

Huu ni upumbavu sana jamani kwenda kumtukana mtoto wa mwenzio hivi hivi for nothing, kwani yy hana moyo jamani? Na ww unaetukana unapata faida gani au huyo Diamond anakupa nini mpaka kumtukana binadamu mwenzio for nothing, kweli huyu kama anafanya kazi hapo aachishwe kazi kabisa jamani sie watanzania tuko nyuma sana kushabikia upumbavu tu tena kwa matusi makubwa, kiukweli nachukia sana haya mambo ya mateam kama humpendi mtu si unyamaze tu kuliko kumtusi mtu hivi jamani, nawe Wema angalia sana pia siku zote kikulacho ki nguoni mwako. Pole sana.

Anonymous said...

Huyo dada atakuwa ana account fake sasa kajisahau kapost kwenye account real haahahaahaa tena hiyo account fake yake huwa anaenda kabisa kumtukana Wema kwa page yake kwa jina linaloanzia na Husna. Mungu huyu kwa kweli si Athumani hiyo ilikuwa zamu yake kuumbuka na bado wako wengine Mungu atawaumbua na majina yao halisi.

Anonymous said...

sometime shule inasaidia sana...hivi vipaji tunavyoviangalia while other factors remain constant itacost wengi...

ingekua Ulaya keshafukuzwa kazi ama keshakua SUED