Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, May 13, 2015

COUP D!ETAT IN BURUNDI!!!

Habari zilizotufikia hivi punde jeshi nchini Burundi limempindua Rais Pierre Nkuruzinza.

Meja Jenerali Niyombare ametoa taarifa kupitia moja ya kituo cha Radio cha Isanganiro kwamba serikali ya Nkurunziza imevunjwa

Askari wazingira kituo cha utangazaji cha serikali nchini Burundi baada ya afisa wa jeshi kutangaza kuipindua serikali ya Nkurunziza..
Taarifa kutoka Burundi zinasema Rais Pierre Nkurunziza amepinduliwa. Kiongozi wa mapinduzi ya kijeshi Meja Jenerali Godefroid Niyombare ametoa taarifa kupitia kituo cha radio cha Isanganiro akisema serikali ya Nkurunziza imevunjwa. Amesema wananchi wa Burundi wamepinga hatua yake ya kuwania muhuka wa tatu. Jenerali huyo alifukuzwa kazi kama mkuu wa ujasusi mwezi Februari.


Celebrations have broken out in Burundi's capital Bujumbura over reports of a coup against the government of President Pierre Nkurunziza.
The developments came after an army officer reportedly announced on Wednesday that Nkurunziza and his government had been dismissed.
Major-General Godefroid Niyombare, who was fired by Nkurunziza as intelligence chief in February, made the announcement at a military barracks, reports said.
He was surrounded by several other senior officers from the army and police, Reuters news agency reported.
"Regarding President Nkurunziza's arrogance and defiance of the international community which advised him to respect the constitution and Arusha peace agreement, the committee for the establishment of the national concord decide: President Nkurunziza is dismissed, his government is dismissed too," Niyombare was quoted as saying.

Al Jazeera's Malcolm Webb, reporting from Bujumbura, spoke of huge celebrations and some gunfire, although it was not immediately clear if the shots were being directed at the demonstrators or were celebratory in nature.
About 20 soldiers were deployed at the gate of the compound of the broadcaster in Bujumbura, he said.
"The road outside has been sealed off and journalists have been told to go inside," he said, adding that state radio and TV were still broadcasting.
It appears that the army has control of the state broadcaster and state-owned buildings, he said.
Nkurunziza is currently in Tanzania where he is due to meet the leaders of the five-nation East African Community (EAC) - made up of Kenya, Rwanda, Tanzania and Uganda as well as Burundi.
The president's office, in a message posted on Twitter, said an attempted coup had "failed".
"The situation is under control, there is no coup in Burundi," the message read.
A presidential adviser dismissed the news of the coup as "a joke", Reuters reported.
Agathon Rwasa, a leading Burundian opposition figure, told Al Jazeera he supported the move by military officials to remove Nkurunziza.
"I think it's right to rescue the people and the nation ... Nkurunziza is relying on his militia to slaughter innocent people," Rwasa said.
At least 19 people have died in Burundi since Nkurunziza announced his intention to run for a third term in elections due next month, prompting weeks of angry demonstrations.
UPDATES;NASKIA KAJARIBU KUTUA BUJUMBURA ILA HAKUFANUKIWA SO AMEKIMBILIA UGANDA,,
Rais Nkurunzinza anatokea mjini Dar es Salaam kwenye mazungumzo ya wakuu wa nchi za Afrika Mashariki yaliyolenga kutatua mgogoro wa kisiasa nchini kwake.
Awali Radio Bonesha Fm imeripoti kuwa ikiwa Rais Nkurunzinza atashindwa kutua mjini Bujumbura ataelekea nchini Uganda na kesho ataanza safari upya ya kurudi Burundi.!



SOURCE;AL JAZEERA,EATV FB PAGE

No comments: