Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, April 15, 2015

WHAT!S GOING ON IN SOUTH AFRICA RIGHT NOW IS VERY SAD AND UNFORTUNE,VERY INHUMANE!!!



KUNA MTU KAANDIKA THIS ON MY WALL;hii generation inayofanya haya haijui hata historia ya nchi yao..wanajua tu walikuwa wanabaguliwa na kuwa oppressed..how did they get out of it, hawajui, wanajua ni wao tu wenyewe walijitoa huko. Unakumbuka mzee Kenneth Kaunda aliwachana siku ya mazishi ya mzee Mandela akamfagilia Kikwete..aliwaita wazee wenzake macomrade na akawaambia vijana wa SA hawajui nchi kama Tanzania zilivyojitolea kupigania uhuru wao. They dont know..they dont care...wamejawa tu na chuki zisizo na msingi. Kila wasichoweza kufanya basi watatafuta mtu wa kumlaumu kwa failure yao!
HATA SIKU MOJA SIKUDHANI HAWA WALIOBAGULIWA WATAKUJA KUUWA WEUSI WENZAO WANAOTOKA NCHI TOFAUTI NA WAO,,INASIKITISHA SANA!!!

1 comment:

Anonymous said...

Inasikitisha na aibu sana kwa Afrika Kusini tena Waafrika kuwafanyia Waafrika wenzao hivi,Wamesahau walipotoka, kazi uvivu tu, wanataka kulaumu wageni wakati wenyewe wamejibweteka. Wamesau fadhila za Waafrika wenzao,kuna haja ya serikali ya Afrika Kusini kuchukua hatua stahiki kwa vijana wanaofanya ujinga huu. mfyuu