Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Saturday, April 25, 2015

MOG!!!!






4 comments:

Anonymous said...

Rachel kaishajipendekeza kwa sitti chezea mademu wa mjini yale matusi aliyokua anamporomoshea yote yalikuwa yanamtokaje watu wakisema ni njaa mjini watukanywe kwikwikwikwikwi balaa la mjini urafiki wa mashaka huo, matusi ya nguoni yale yote watu wanasura ngumu jamani hata haya. jamani tujifunze kutochukia watu bila sababu hauwezi kujua atakaekusaidia kasho. sitii wewe ni mfano wa wanawake jasiri na wenye moyo kama umeweza kukaa na huyu dada atajifunza staha, siku nyingine ajue kutumia social media vyema,, dadake ni mtu mkarimu na mchapakazi awe ivyo nae.kha hapana kama kabadilika mungu amlinde asirudi kule

Anonymous said...

mbona hao wengine haujawataja tuwajuwe majina yaani bloggers mna mambo

NURU THE LIGHT said...



ehh kama haya amazing flani hivi,,,hakuna alotajwa jina hapo!!!

Anonymous said...

Wewe anonymous hapo juu matako ya baabaaako Rachel hajajipendekeza na wala usidandie treni kwa mbele. Mbwa wewe hujui unachosema so shut the fuck up. I am pretty sure hujiamini na ndio maana unatapa tapa. Kama hujui kinachoendelea nyamaza kima wa mayai. Sisi tuliokuwepo ndio tunajua kama unajiamni nenda kacomment ungese wako kwenye account ya rachel kama hajakunyamba. Fala weweeeeeeee. Utakua unasuguliwa na ndio maana unajiita anonymous mimi na it wa Jimmy kaale. Mbwaaaaa weeeee