Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, November 5, 2014

KUNA VITU SITAKUJA KUVIELEWA KAMWE SIMPLY BECAUSE UNAANZAJE KUINGILIA MAISHA NA KUMPANGIA MTU MAISHA YAKE,FOR WHO AND FOR WHAT!!!




KIUKWELI KUNA WAKATI JAMII INAKERA WATU KIASI KWAMBA UNJIULIZA HIVI MLIFUNZWA NA NANI KUFUATILIA MAISHA YA WATU,NI NINI LAKINI?
JANA NIMEPOST KUHUSU KUZAA KUWA NI A PERSONAL CHOICE JE MWANAMKE ANAYEAMUA HATAKI KUZAA NI LESS OF A WOMAN SIMPLY BECAUSE KAKATAA KUWA MZAZI MBONA WANAUME HAMUWAULIZAGI UNAZAA LINI,,
HIVI MAISHA YAKO NA MATKIO YAKO MWENYEWE HAYAKUTOSHI MPAKA UMUINGILIE MWENGINE OR NI KWAMBA UNA MATUKIO MENGI SANA UNAONA RAHA KUWAKERA WENZIO,,AISEE ITS PATHETIC!!

BACK TO MY POINT HII TABIA YA KUWAAMBIA WATU ZAA ZAA HUWA INANISHANGAZA SANA,,
JE WEWE UNAYEULIZA INAKUHUSU NINI MTU AKIZAA AU ASIZAE??
KAMA ALIVYOANDIKA WEMA KAMA WEWE UMEAMUA FANYA NA KAMA WEWE UMEPENDA FANYA SASA UNAANZAJE MUINGILIA MTU MAISHA NA UAMUZI WAKE
UNAJUA KUNA VITU HUWA SITAKUJA KUVIELEWA AND THIS IS ONE OF THEM KWANZA MAISHA ANAYOISHI WEMA SASA HIVI MNAFKIRI SHE!S READY TO BE A PARENT???
MAANA SHE IS STILL YOUNG AND SHE STILL HAS TIME KUONA KAMA YUKO TAYARI AU BADO,,
NA HATA KAMA ANGEPENDA KUZAA SASA HIVI WHAT IS IT TO ANYBODY;;
KAMA ATAAMUA KUZAA MTOTO ATABAKI KUWA WAKE NA KUMLEA ATAMLEA YEYE WEWE WORRY ABOUT YOUR!S INCASE YOU HAVE ANY,,

WANAWAKE AT TIMES TUKO SO JUDGEMENTAL TOWARDS ONE ANOTHER WAKATI TUNATAKIWA KUPEANA SUPPORT,,
MLISEMAAAAA MILLEN DADA WA WATU MPAKAAAAAAAAA MLIVYOKUJA JUA SABABU MKAKAA KIMYAAAAAAAA HATA USO HAMJUI MUUWEKE WAPI,,

BOTTOM LINE IS THAT KUNA WANAWAKE NI WAZAZI ILA HAWAFAI HATA KUITWA WAZAZI MAANA HAWAJUI HATA WATOTO WAO WAMEKULA NINI LEO..
SIO KILA MTU IS FIT TO BE A PARENT WENGINE HAWAKUPASWA HATA KUZAA WANATESA WATOTO TU VIUMBE AMBAVYO HAVIKUOMBA HATA KULETWA DUNIANI ILA UTAKUTA LIJITU DOMO JUU MIMI NNA MTOTO BILA HAYA HUKU ANAJUA HAFANYI CHOCHOTE JUST MAZAFUSELESS NA USELESS,,

JAMANI TWENDENI NYUMA TURUDI MBELE HAKUNA KAZI NGUMU DUNIANI KAMA KUWA MZAZI,,
MZAZI NI KAZI HAINA MALIPO WALA VACATION,,
ONCE YOU BECOME A PARENT YOU ARE IT FOR LIFE NA NDIO MAANA NI MUHIMU MTU AWE TAYARI KIMWILI NA KISAIKOLOJIA ILI AJUE KINACHOMSUBIRI NA NINI KUWA MZAZI BORA KWA MWANAE,,
BECOMING A PARENT IS A LIFEMAKINGCHANGE SO MAKE SURE YOU ARE READY FOR IT AND PREPARE YOURSELF FOR THE JOURNEY.COM!!!

8 comments:

Anonymous said...

WEMA AACHANA NAO HAO WAWANA WAJUALO.
NURU UNAAMBIWA BORA UKOSE ELIMU UWE NA UFAHAMU .WATU HAWANAUFAHAMU KUNA MTU ANAKWAMBIA MIE SITAKI KUZAA NA WANAISHI BILA KUZAA . WAO WAMEBAKI KUZAA SI WAZAE WAO MIE WATU KAA HAO HUWA NAWAPOTEZA

Disminder orig baby said...

Nuru me narud pale pale, watu hatuna maadili ya dini zetu, tumrudie Mungu SubhannaAllah.

Hawa watu so kuingilia maisha ya MTU tu, pia Wanataka kufanya kazi ya Mwenyezi Mungu, Astaghafir.

Why? Huzai, hutaki kuzaa, wao wangekuwa na huo uwezo mbona hawajipangii date na gender wanayowish?

Ulezi unataka mipango, na mtoto akipata malez ya wazazi wawili ndiyo nzuri zaidi, unazaa na MTU hayuko Tatar kuwa baba, mwisho wa siku unajukuta mpaka unamchukia mtoto kwa kuathirika kisaikolojia. Msione watu wanatesa watoto inatoka mbali sana, though wengine ni Umburula wao tu.

Muacheni Wema, nyie waumbaji siku akitaka atskuja kununua mpate Capital za kuanzisha biashara, mkome kupoteza mud a kufatilia personal life za watu.

Anonymous said...

mh

Anonymous said...

Wacha kuzaa ukikutana watu wako busy kuambia wenzao oh umri umeenda huna mume wala mtoto. How stupid is that? Yani Sababu Wewe Una mume na watoto Ndo iwe shida Kwa Wengine? ??!! Nani amekuambia kila mtu ana shida ya kuolewa na kuzaa?? Hayo ni maamuzi binafsi sasa nini kupangiana lifestyle. Kwa Kweli Hii Kitu inanikera Sana Bora Nuru umeiongelea it's super annoying. Hao hao wanaoshinda kusema wenzao kuwa hawajaolewa wala kuzaa yaani pamoja na wao kuwa w ameolewa na watoto stress zimewajaa kila kukicha ni matatizo ya ndoa au ndo kuwa kutangatanga hata watoto hawajui mama yuko wapi nyumbani hakuna liking ni kwenye srarehe na umbea tu sasa sijui ulikata na kuolewa ya nini if you can't even be at home with your own family that you are preaching about! !!!! Huo Muda wanaotumia kusema watu na kusimulia majanga ya waume zao wange invest kwenye ndoa na familia zao hata ndoa zingedumu. Mimi nadhani hawa wanataka na sisi ambao hatutaki kusikia habari ya kuolewa na kuzaa bila mpango kutupa pressure ili tuingie mkenge kama wao tuonje joto ya stress wanayopitia tumewashtukia hatutaki. Tutaolewa na kuzaa kwa raha zetu na kwa wakati wetu tukijisikia na sio kwa kuogopa mtasema nini. Nikiamua kuwa mzazi anytime tena bila kuzaa I can simply adopt a child how about that.

Anonymous said...

Nuru chukua Chips kuku kwa Mangi hapo naja lipa. Yaani maswali ya kuzaa ni kero, mtu unatoka mzima mzima "lini unazaa" really? Wee hujui kwa nini mtu hajazaa/ or hataki zaa... Labda ni médical reason, labda mipango ya Mungu. Walahi next time mtu atakae nidodosa kuhusu kuzaa, nitakutundika picha yako fb na mchambo juu.. I m done with u lots! Hasa wewe mama wawili wa England unaongoza. Waacheni wanawake wenzenu wapumue, kama wewe unao watoto good for u.. hayakuhusu kuhusu mwingine kutokuwa na mtoto, mfyuuuuuu

Anonymous said...

Kuwa na mtoto ni personal decision, kuna watu wameolewa na wameamua kuishi bila kuzaa,binafsi nitazaa kwa wakati wangu maana wameuuliza weeee hadi wamechoka Nuru ushanipata hahaha please wanawake wenzangu ina imani kuna mengi sana ya kufocus kwenye maisha yenu binafsi so just do me a favor and mind your own business. THANKS

Anonymous said...

Inasikitisha wa-Tanzania wasiokuwa na elimu ya dini na dunia na malezi mazuri ndio wenye hizi tabia za maswali ya kijinga Mie ningemshahuri wema asiumize kichwa na watu Kama hao, kuzaa Ni majaliwa ya mungu ndomana kuna wameepata mmoja kuna wamepata wawili Tu, kuna wameopata wa kike Tu na kuna wamepata wakiume Tu na kuna waliozaa watoto bahati mbaya au nzuri zote mungu kamchukua mtoto siku hiyo hhiyo au baada ya miaka saba na wakaenda hawajapata tena watoto kuna wanaozaa vilema na wanashukuru mungu na kuna wanaoza vilema wanawatenga watoto au mke kiss kazaa kilema tuwe makini tunavyo wish au kumsema mwwenzako lako hujui na sio wote wanataka kuowa na kuoelewa kuwa na watoto pia na mungu haukumu asiopata mttoto sio kosa lake Ni nje ya uwezo quran imesema Allah maneno yake sio yangu kuna nitaowajalia watoto na ambao sitowajalia haimanishi kakuonea ila anasababu why wewe hakukupa wote anawapima mtihani wewe ambaye unaye shukuru ila pia mtihani je unalea inavyotakiwa? Na huna imepunguziwa mttihani ila upende wa wenzako Mie nishawahi kuongea hapa namiaka zaidi ya 10 na mke wangu bila mtoto na tatizo Ni Mie mwanaume na tunaishi bado na mke wangu kwa raha starehe natunapendana Kama nuru ataweka ile story mtaelewa why bado tupo pamoja kabla hamjahukumu watu na kujiona wanawake mliotimia sababu mwenzenu hawezi kuzaa tafuteni elimu na roho zenu au utasikia mtu mwanaume yule kibingwa analengesha Tu na juzalisha huku na kule je kibingwa mara ya mwisho watoto wake kawatizama lini? Na kuwalea? Au anajisifu Tu na mtoto? Tuwe makini leo utaona unao watoto wa 3 mara mungu kawabeba wote umebaki wewe mara unajaribu hupati tena mara wale watu wanakuwa Kama wewe ulivyokuwa unawambia watu huyo hazai huyo haha hata mtoto utawajibu vipi? Nawashauri wanaume wenzangu kaeni na wake zenu na wanawake wacheni roho mbaya mwisho mnatafuta watoto njia sio mnajuta sababu mnajikuta mnalala na watu sio yote tamaa ya kutafuta watoto na wenye midomo michafu ndio wanawapoteza wengi. Samahani nuru Kama nimekosea au kuchapia mandishi mungu atanisameh. MZ.

Anonymous said...

Sure thing.. Kuzaa ni majaaliwa ya Allah