Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, July 2, 2014

JOJO!!!


3 comments:

Anonymous said...

kapendeza sana hiko kigauni ni nyokoo

kitty said...

ze kala dah...

Anonymous said...

if only jokate asingekua na kiherehere>>.angekua amoung the hottest girls in TZ lakini watu hawamuoni sa nyingine kwasababu ya kiherehere chake.she is too much leo mtangazaji,kesho anauza nywele za kidoti ambazo zipo too much synthetic kushinda hata lailoni,yani hata katani inanafuu kwa uzuri,kesho anatoa ushauri wa beuty kwenye simu,kesho kutwa mwana harakati wa haki sijui za watoto sijui za wanawake kasichana sijui nini,uwiii mtondo goo ni mwanamziki sijui my african queen kapanda kashuka sijui dada kaka eeh.mara mwanamitindo sijui kidoti model agency eeh mara nini,mara tunamuona na koti la babu yake anavutavuta kisura chake kwenye Tv sijui kill awards,mara miss Jesus save me front line at st joseph church anaimba kwaya,kesho umemwita diamond akumodelie nguo mara kesho ukamdate,yani she is just out of control hata kama kutaka kua successful hakuendi hivyo shika vichache kwanza and then ukiona vinafanikiwa and then anzisha vingine.ata ulipoenda mikasi show walikuambia.there is a swahili saying dat say MSHIKA MAWILI MOJA HUMPONYOKA,au MTAKA VYOTE HUKOSA VYOTE..SO jokate sweety leo i just had to say sum mmmh if u change u will go so far,u got the looks,u got what most women r lacking CONFIDENCE and above all ur different from most of these pretty girls on fame by the fact that ur educated tena with a degree form udsm elimu imekusaidia nini sweety ndo mlivyofundishwa kwenye DS mambo ya entrepreneurship yana enda hivyo??!!Miss i know everything jokate please change.!punguza kiherehere