Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Monday, July 14, 2014

FROM ANDREW MWANYIKA!!!



Wazazi msiwaache watoto wenu wa kike kuishi kwenye the so called maghetto. peleka hostels zenye matron na sheria, kama muda wa mwisho wa kuingia. i have personally seen mmomonyoko wa maadili kwa hili. mzazi unajua mtoto wako yuko safe na wenzake kumbe ndo umewatupia mbwa mwitu nyama. she goes along with a bunch of friends on journey called fast lane life, peer pressure she is subjected to. Competition for men and who wears the most naked clothes as they would refer to sexy. no! no! hata kama ndo college na ni mtu mzima haitaji kufwatiliwa ila huku ndipo watoto wenu hasaa wa kike wanapoharibikiwa. wazaz kuweni makini nadhani mmeona clip on whatsapp zinazoenea za wasichana wakifundishana utupu na ngono.
tena hata hizo hostel muwe nazo makini nimeshuhudia pia wanaume wakiwahonga walinzi ili watoto wa kike waliopo hostel waruhusiwe kutoka usiku. tena ni biashara kabisa kuna madalali wa watoto wa kike ambao ni link kati ya mapedeshè na hao watoto wenyewe. mzazi umelala kumbe mwanao anafanywa chambo tena ni kipato cha mtu mwingine. where are we heading? anamaliza chuo anamaliza kweli, with aids.

2 comments:

Feminist said...

I would like to add something on this topic. Nadhani wazazi hutakiwa kulea watoto wote sawa. kama ni kuchunga wachungwe wote sawa na kuonyeshwa ukali wote. Ukimkanya mtot wa kiume pia, ajilinde, asijiingize kwenye ngono katika umri mdogo, a concentrate kwenye elimu etc.. nafkiri utamtoa kwenye kundi la kuwa mtoto ambaye ataenda kumfuata mtoto huyo huyo wa kike ambae mnataka wazazi wawachunge. Personally, sidhani kama ni sahihi ku segregate watoto . Mtoto akiharibikiwa effect ni ile ile kwa wa kike au wakiume. Ukimwi ni ule ule na maisha kuharibikika ni kwa level ile ile iwe kwa wa kiume ama wa kike.
Inabidi tuachane na huu mfumo dume wa kuona kuwa akifanya mwanaume ni sawa ila akifanya mwanamke yaniiii ni the worst thing ever. SEMA MTOTO, ntakuelewa. Chunga watoto wako wote kama mzazi sawa.

Anonymous said...

Pata ftari hapo kwa mama muuza ntakuja kulipa, yaan nimekuelewa mnooo Feminist