Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Sunday, June 8, 2014

UZINDUZI WA SIKU YA MSANII A.K.A MSANII DAY LAUNCH BROUGHT TO YOU BY HAAK NEEL PRODUCTION HELD AT SEA CLIFF DAR-ES-SALAAM!!


 Meneja wa Masoko wa Siku ya Msanii, Catherine Metili
> (kulia) akiwa na ofisa Masoko wa Mradi, Veronica Martin
> (kushoto) wakiangalia kitabu cha wageni wakati wa uzinduzi
> wa Siku ya Msanii

 Waziri wa Habari,Utamaduni, Vijana na
> Michezo, Dk. Fenella Mukangara, akipiga  Gitaa
> kuashiria uzinduzi wa siku ya Msanii katika hafla 
> iliyofanyika kwenye hoteli ya Sea Cliff Dar es Salaam.
 Mkurugenzi wa Haak Neel Production, Sebastian
> Mahendeka akizungumza wakati wa uzinduzi wa Siku ya
> Msanii
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, Dk
> Fenella Mukangara akipokea zawadi ya picha aliyochorwa na
> msanii chipukizi, Meddy Jumanne wakati uzinduzi wa sherehe
> ya Siku ya Msanii uliofanyika mjini Dar es Salaam.



 Mkurugenzi wa Utamaduni, Profesa Hermas Mwansoko akiwa
> na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo,
> Sihaba Juma wakifuatilia tukio la Siku ya Msanii.

 Wageni walialikwa wakimesimama kutoa heshima
> kwawasanii mbalimbali waliofariki katika kipindi cha mwezi
> mmoja uliopita
PETTER DAVID MWENDAPOLE AKIFUATILIA SIKU YA MSANII,,

No comments: