Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Saturday, June 28, 2014

THIS SEEMS TO BE A BIG ISSUE SO SPEAK ON IT!!!



NIKIWA NIKIPOST STATUS ZINAZOHUSU NDOA NAONA WADAU MNAVYOKUWA MKIKOMENT NI KWAMBA NI ISSUE IMEGAWANISHA WANAWAKE PANDE MBILI,WALE WANAOONA NDOA NI KITU MUHIM NA WALA AMBAO WANAONA ELIMU KWANZA NA NDOA ITAFUATA BAADAE NA PIA KUNA WALE AMBAO WANATAKA MWANAMKE ABADILISHE FIKRA YA KUTOKUBALI KUTESWA KWENYE NDOA MAANA NIMEGUNDUA KUWA KUNA WANAWAKE WANAONA KAMA KUOMBA TALAKA NI AIBU,,
HII ISSUE IKO VERY SENSITIVE NA NINGEPENDA NSIANDIKE MY VIEW ILA NAWAACHIA KILA MTU KWA UHURU WAKE ASEME MTAZAMO WAKE,,JANA NILIPATA COMMENT HIZI KUHUSU SWALA LA NDOA,,


tatizo lenu wanawake wakitanzania mnaona kuolewa big deal mwee ndio maana wanaume wanawazarau nakuwatesa kwani nani alisema hakuna heshima bila ya kuolewa jamii yetu inasamini ndoa kuliko elimu kichefchef nampenda bf wangu natamani cku 1 pia kuolewa lakini sio lazima mfano km hatakuja kunichumbia basi sio mwisho wa dunia wazazi waseme mpaka haolewi mtu kisa tu niwaridhishe wao au jamii wengi wanaolewa kwa hilo na nikosa mnaharibu maisha ya watoto kwanini mentality ya wabongo ipo tu kwenye ndoa ni 2014 halooo tuamke mnafanya watu wanadandia treni kwa nyuma ili na wao masikini wapate hio title denti wadogo na mjiwanaume yakutisha ni shiiida asilimia 90 wapo kwenye ndoa bora tu aitwa mke wananihi mume anacheat,anapigwa,ananyanyaswa,mateso tu wakienda kwa wazazi ndio kwanza wanashauriwa kurudi seth ameongea ukweli mtupu tunaakili finyu mtu kama hajaolewa mtamsakama wee utaolewa lini sijui utajifungua lini khaaaa na hio mentality yatalaka inawatisha wengi mtu bola akae kwenye mateso ale kipigo na afe na presha kuliko kuondoka atangangania mpk aletewa watoto wahawara analea kuna raha gani basi yani kwa kweli siku hizi sina hata mfano wakutoa kusema kwamba natamani niolewe niwe kama couple ile au ndoa ya kina wale maana kusema la ukweli all the relationships and marriages of nowadays sucks uongo mtupu ni movie tu watu wanaoneshe wao wako happy humo ndani nimastress si afazali kujikalia mwenyewe anaony uliosema kuolewa na mapenzi hebu tupe mfano hapo tujione ndoa gani yenye mapenzi mfyuuuuu hakuna ndoa ya mapenzi siku hizi mambo yote fasta fasta watu wanajizolea km sio pesa basi tu wazae hao watoto na hakuna ndoa ya milele usidanganyike utaacti mwisho wa siku utachoka.ingelikua mnauliza watoto wenu lini utasoma degree lini utajenga nk basi tungekua mbali kweli wenzetu wametuacha nyuma wanajari elimu hayo mengine yatafuata kwa wakati wake muafaka sio kuforce ndoa mtu hana aseti yoyote wala elimu ya maana eti olewa mfyuuu wacheni movie iendeleeeee


mtoa mada amenigusa sana kusema ukweli na keshokutwa ramadhani naombeni ushauri maji yamenifikia shingoni nimeolewa kaa miaka 3 iliopita janzo cha ndoa nilichumbiwa na mmm nilitaka kusoma nijenge cv lakini wazazi wangu wakanishauri niolewe hawakutaka kunielewa wala kukubaliana na mm posa ya kwanza ndio hio hio madai bahati haziji mara2 tulidate kwa mda mfupu sana kaa nusu mwaka tukapendana kusema la ukweli nimejilazimu kumpenda ili niweze kuishi nae ndoa yangu cjui km hata inastahili kuitwa ndoa sina raha kabisa yani mm ni mtu wamajonzi mume hana mda na mm hana mapenzi wala haongei na mm vizuri ananijibisha mbele za watu najichekesha ili tu yaishe ila ndani naumia sana nilijaribu kuongea nae lakini haijasaidia nasononeka mamangu hataki kusikia mashtaka asema nivumilie hakuna ndoa yenye raha kwani pia ananipiga alianza kunirushia vitu kwa hasira mwisho wake amenigeuza mpira najaribu kumuonesha mapenzi wala hana shuguli na mm hata nivae nini hanijali naona tatizo ni malezi wazazi wake baba anampiga mama na mimi kwetu mamangu hana say yani baba ni bosi humo ndani japokua mamangu ndio mtaftaji nona kama vile mie n mumuangu tumejifunza kwamba mwanamke hana hadhi wala haeshimiki na mume ndio mwenye sauti na kauli na atachofanya lazima tukubaliane nae mfano mamangu ameteseka sana na baba mpk ilifika kipindi tukambembeleza arudi kwa bibi lakni alikataa na dadangu nae ndoa yake yani ndio ni majanga matupu nimefikiri sana kwa nini sote tumeolewa na wanaume km babaetu na tunateseka km mamaetu naomba ushauri nifanyeje nataka talaka yani km uwezo wangu saivi ningesepa ila naogopa nitanzia wapi mamangu asema nitamtia aibu ataweka usi wake wapi harusi ilikua garama nivumilie watoto wakue mbona yeye amevumilia mpk leo but pipo i don wanna b like her mamngu hajiamini wala hajipendi yani baba amemfanya amekua mnyonge hadi anatia huruma ukimwambia habari za talaka anaruka yani cjui hata nianzie wapi nikizidi kuishi hapa sitakua na amani wala furaha maishani mwangu cant imagine nikae hapa for another yr na watoto wanakua exposed to abuse na wao watajifunza kua ndio maisha ya ndoa yapaswa kua hivi na nikiondoka watakosa mapenzi ya baba pia nitaenda wapi kwetu baba atanifukuza nirudi kwa mumewangu why in africa we suffer why god why mbona wenzetu hawapangiwi maisha yani sina say
June 27, 2014 at 10:14 PM
 Delete
Anonymous Anonymous said...
I am sorry I cannot reply in swahili. It seems like you and your sister have married man that are like your father. I urge you to go look fir help. You are not living in a safe environment, it's not healthy for you nor your kids to see that, because ( God forbid) they will repeat the same cycle. There has to be a way out. You need to love yourself and your kids more. If you are a Christian, look for help at church, even if you're not, try to go to a church and see if they can help. Your peace of mind and that of your kids should be the utmost important thing. I cannot stress enough for you to go and find help, out of your family cycle, you need to speak up, voice your problems, there are a lot of women like you out there and are just too afraid to say anything. So please, get help!
June 28, 2014 at 4:28 AM
 Delete

So even if you not feeling the dude you'll just go ahead and get ladrões just for the sake of the title "marriage" since there's a thing called divorce!?!?! We anon unaongea nini...ndio nyie nyie huyu aloandika topic hii anawalenga sasa unaolewa nini ka kichwa kishawaza divorce? It means hukuolewa kwa mapenzi na kumjua fresh mwenzio bali tamaa
Asaaaaaaaaaaante!.No wonder wenzetu ughaibuni unakuta mtu yupo zake single hababaiki wala kushobokea maswala ya ndoa maana wenzetu wanaelewa kuto lower standards eti kisa tu kuolewa it is high time na sisi mabinti wa Kiafrica tubadilike tusiwe na tabia za ilimradi mwisho wake mitalaka tu na stress za kipuuzi

9 comments:

Anonymous said...

It seems to me that when a woman gets married in the african culture, she doesn't have a voice and her opinion doesn't count. The man though, is the dictator of the relationship and the family, he can look and lust at other women to the point of having a mistress who bares him kids. And this is NOT frowned upon. The wife back home has to tolerate this, even physical and verbal abuse. If she speaks up it's embarrassing, or seek a divorce, it's embarrassing. So she is trapped in this unhappy marriage and cannot end the contract. I think that's why some say to study first and have a career, because men tend not to be supportive of this while married. Now with a career you have a job, independence, stability and the balls not to take bullshit from a man who is providing for you. So yeah this is the best choice so you don't get trapped in an unhappy marriage than you should go for it. But if you do find yourself in an unhappy and abusive relationship weather a marriage or not, you need to speak up. This is what we as women can start to change. We need to value and love ourselves more, especially if kids are involved.

mdau uk said...

All I can say to my fellow Tanzanian ladies, is that, You are better off on ur own kuliko ishi na abuser so called husband.... Please please wadada wake up! We are in 21century! Women's movement for change. Eti mama atakufikiria vipi! Are u for real? "Is your life and u are incharge young lady" F....k what others will think! Tafuta furaha yako kwanza. Mnaogopa kuachika, kwani kabla hajakuoa siulikuwa unaishi!! wanawake tuamke.." Say no to abuse"

Anonymous said...

Also, live a little. Make mistakes and learn from them. Travel, meet new people. Fall in love, get your heart broken, mend it and try again. Pursue your dreams. Marriage can wait there is no hurry to get there.

Anonymous said...

Tatizo sio wanawake tatizo kubwa ni society iliyotuzunguka yani mpaka mind set ya society ibadilike ndio mwanamke anaweza kujikwamua kwenye ndoa zenye mateso.

Anonymous said...

its good when we comment not to point fingers at africans cause a married men having a mistress to the point of having kids is happening worldwide right now.a clear example is of beyonce parents so its not just africanz for godsake.

Anonymous said...

it's a world wide issue, but more so in our african culture. From a young age, women are not given space to voice their opinions, because their place is in the kitchen, to raise kids, and take care of the house. it's barely in the living room where all the men are talking. You learn from a young age not to voice your opinions. What do you think will happen after you grow and get married? habits don't change in a day. We need to encourage our kids to express their opinions and feelings responsibly and respectfully, so that when they grow up at least they won't be afraid to speak up their minds.

Anonymous said...

swadakta anaony hapo juu pia issue hii inagusa zaidi low class peps tajiri hawezi kumshauri or kumlazimisha mwanae aolewe ovyo unakuta mama anamshawishi mwanae aolewe na babu au na mwanaume mkubwa zaidi kiumri kwa tamaa ya hela elimu inahusu kwenye society yetu watu waamke elimu first da rest follow mzazi analazimisha mwanae kuolewa au kurudi kwa mume japokua mume amefumaniwa na hawara yani wanafanya usaliti ni kitu cha kawaida na mapenzi ni ujinga eti utajifunza kumpenda nenda kwamumeo ukienda no love waambiwa ukizaa utamuona mtamu khaa ndio kabisaa ukimzalia ujeuri na kulala nje ndio kafunguliwa ukishtaki waambiwa waume wote wako hivyo mwenetu vumilia mbona babako aniletea mpk wanawake nyumbani nipo nae mpk leo like seriously?

Anonymous said...

MTAONGEA MBUMBUUUU BURE WABONGO HATUJIAMINI WATOTO WA MUCHINI SIKU HIZI NI KM KUMBIKUMBI WAFUATA MKONDO MTU ANAONA ASHIKILIE FIRSTI CHOICE KWASABABU HAJIAMINI AONA KAMA HATAKUJA KUOLEWA TENA BORA TU ATULIE NA HUYO ASIE MPENDA BORA NDOA N SIKU ZINAENDA NAULIZA KWANI MTU UKIWA NA MSIMAMO WAZAZI WATAKUVALISHA HILO SHELA KWA NGUVU MSIWALAUMU SANA WAZAZI OK WAO WANAMILA NA TAMADUNI ZA KIZAMANI MWANAMKE SEHEMU YAKE NI JIKONI NA KWAMUME NK SAA HAWA WALIOELIMIKA KARNE YA 21 MBONA HAWANA TOFAUTI YOYOTE INTERMS OF THEIR CHOICES KUJIELIMISHA WANASHINDWAJE KUBADILIKA NI HAYO TU

Anonymous said...

definitely society society is to blame mtu kama hajaolewa wanamsakama utaolewa lini akiolewa masikini ili aepukane na maneno ya watu muda ukipita hana mtoto watamsakama mbona huzai watamuita tasa akizaa baada ya muda watasema mtoto mwenyewe mmoja kama dawa atazaa wa2 it's never ending shit pepo need to change or else wataenda pabaya kuchukua uamuzi mkubwa maishani kwa ajili tu ya maneno ya watu is sick