Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Saturday, June 14, 2014

ITS SAD!!!


NLIKUWA SITAKI KABISA MWANZONI KUIPOST HII PICHA ILA LAZMA NIELIMISHE WASIOJUA ILI WASIFANYE KITENDO WASICHOJUA,,NINGEOMBA LINEX AU MSANII AU MTU MAARUFU YOYOTE AU MTU MWAFRIKA YEYOTEEE ASIVAE T-SHIRT NA HII CHATTA MAANA ITS PURE IGNORANCE,,HIVI MNAJUA MAANA YA HII CHATTA AU,,NA KAMA HUJUI BASI JUA LEO KUWA HIKI SIO KITU CHA MTU MWEUSI KUKIVAA KABISAAAA,,NIMESKITIKA SANA TENA MNO KUMUONA LINEX KAVAA HII T-SHIRT BUT NKASEMA ITAKUWA TUU HAJUI ILA NKASEMA WOTEE WALOMUONA HAMNA HATA MMOJA ALOMWAMBIA INA MAANA HAWAJUI AU NI NINI,,KWELI NA UTANDAWAZI NA MASOCIAL MEDIA BADO KUNA VITU TUNAJISAHAU,KUJISHUSHA,KUJIDHARAU KUVIENTERTAIN,,
TUMESAHAU MATESO NASAFARI TULIKOTOKA KAMA WATU WEUSI MPAKA UNAVAA HIKI KITU AMA NDO HIVYO HAJUI,,
NAOMBA USIRUDIE TENA NA KAMA KUNA MTU ANASOMA HII PEACE LEO NA UKAONA MTU KAVAA TENA MWEUSI NAOMBA UMFAHAMISHE POPOTE PALE UTAKAPOMUONA,,NIMEMALIZA.COM!!

14 comments:

Anonymous said...

Umesema tuwaambie wasivae kwa nini haujasema sababu kwa sababu mimi mwenyewe sijui inamaanisha nini,naomba unijulishe inamaanisha nini.

Anonymous said...

Ungesema na maana yake maana wengi tu hatufahamu. Ndio kuelimishana kwenyewe......

Anonymous said...

mi nijuavyo hii chata hutumiwa na waumini wa kihindu(hinduism) na kwao inaamanisha bhagwan au GOD so sijui nuru anaielewaje.maisha ni kujifunza tunaomba atupe somo.loooooove youuu nuru.

Anonymous said...

ungesema maana yake maana hata mimi sijui.

Anonymous said...

Maana yeye ni wanachama wa Nanzi#hitler

Anonymous said...

Ni symbol ya nazism the Hitler symbol , kama unataka kuelimisha unatakiwa kaelezea

Anonymous said...

Hii Alama inahusu ubaguzi haswa kwa weusi na wa Yahudi { Aldolf H] Lakini utashangaa kwa Kikorea hii alama ina maana nzuri sasa sasa different culture yeah!

NURU THE LIGHT said...



This is a hitler sign,,,
nafkiri historia ya Nazi ujerumani waliouwa 6million jewish people mnaijua na hii ndio sign yao walikuwa wakivaa naonba mgoogle nazi halafu mjielimishe zaidi,,, tafuteni picha inaitwa missisipi burning mtaelewa zaidi,,,
hii sign pia ilikuwa inatumiwa na bado inatumiwa na Nazi na K.K.K ambao walikuwa wakiwahang watu weusi marekani na kuwafanyia ukatili,, for example Sweden huruhusiwi kuwa na plate kwenye gari yenye signs K.K.K wanajua maana yake ku klux klan,, hawa watu ni wabaguzi na wamefanya mengi siwezi elezea yote ila kuvaa the Nazi Hitler sign kiukweli kakosea sana,, it represent hate and racism,,, i hope mmenielewa mpaka hapo

Much know.com said...

We live in a symbolic world. We learn shared meanings of Symbols and Labels through interaction with others, but "MIND" you these symbols and
labels are Culturally specific!

So perhaps huyu ana maana yake mwenyewe, let people be enlever and do whatever, who are We to give orders to others.... Mfyuuuuu.... Ujuaji mwingi, kichwani mbumbumbu, kukulia ulaya Ndo imekuwa shiiiidaaa.

NURU THE LIGHT said...



ANA MAANA YAKE KIVIPI,,HIVI WW UNA AKILI KWELI HATA KUJIBU ETI ANA MAANA YAKE,,SERIOUSLY

KAWAULIZE MILLION HAO MIL 6 WALOULIWA KUWA OHH LINEX HAMAANISHI UBAYA HES JUST EXPRESSING UJINGA,,
katika miaka yangu mitano toka nablog hii ndio mara yangu ya kwanza ya kusoma comment ya kijinga ever,,eti ana maana yake,,
mweusi aloburuzwa njia nzima na watu walovaa hii sign na kufa just bcoz ni mweusi utamwambia umevaa una maana yako
weusi walopoteza maisha yao utawajibu linex ana maana yake
dada i feel sorry fo u eti mind u we live in a symbolic world,,
ama kweli leo ndio nimeijua sura ya mjinga na maneno ya mjinga na kweli baki kuwa much now which means u dont know shit,,
lakini utajuaje maana hujayapitia yale wenzako walopitia kujua uchungu wa ubaguzi na chuki ni nini,,hata google hujui ukaitafuta na kujielimisha umerukia kuniaatck mimi wakati nakuelimisha wewe au kujua kizungu umeona umeshaelimika tayari,,
eti let people be bla bla bla bullshit,,
na jua kwamba hakuna kitu najivunia mimi kama Nuru zaidi ya kuwa AN AFRICAN WOMAN
basi ivae halafu shuka pale harlem USA tuone kama utatoka alive,,unafkiri huu ni utani,,watu wamepoteza damu halafu ww unaleta umburulazz ohh we live in a symbolic world,,amka dada tunakaa dunia ambayo watu kama hawa bado wapo yaani wewe ni wa kuombewa tuuu,,mbumbumbu niwe mimi wakati nakuelimisha wewe majangaaaaaaaaa oya majangaaaaaaaaaa,,N YA MI SIO MSHAMBA KUONA KUKAA ULAYA NI BIG DEAL KIHIVYO.COM,,,

Anonymous said...



kwendraaaaaaa muchknow mwenzio msanii je aende ughaibuni au mtu amuone hapo bongo akose dili nzuri kisa kavaa hii chatta hebu fikiria mbali mwnezio kafikiria mbali ndomana kaongea
nguruwe hata avalishwe suti atabaki kuwa nguruwe na hiyo alama ni ubaguzi hata ivalishwe suti

Disminder orig baby said...

Nuru hao achana naye. Huyo ndo waleee wanakumbatia weupe akizan life inatoka kwao. Angekuwa mzima angejiuliza why hukutaka kumlaumu direct na ukajarbu kutoa nafas tu ya uelewa.

Honestly inaboa sana watu uwa wanafurahia ujinga zaidi.

Anonymous said...

hao waliokoment ujinga nuru hata ucpoteze muda kuwajibu wanataka kuchefua watu tuu,much know ni wao...mfyuu.tek ya tm ma gal.plzzz ucbishane na wajinga

Anonymous said...

inasikitisha kiukweli huku kwetu angekua ameuliwa zamani hata kama ni famous vp utoke nje na hio shati tanzania elimu inahusika nuru achana na hao mambururu kuku huyo niwale wanao kumbatia watasha kama vile ndio kafika anajisahau na kuzarau weuzi mtu akiwa na mzungu basi na yeye ajiona mzungu mfuuu nigga ain't shit ehao tumewazoea wanapapatikia wazungu afu sasa ukimkuta na mzee wake ni vicheko.com mzungu kafia kaa dafu lenye mkojo wa komba mzungu gani basi wanaoringa basi nuru haya ni wale waliozoa walalahoi mzungu elimu zero kizungu kwishne akiongea ni kichefu chefu mzungu kama sio mzee basi tahira flani aliochoka namaisha dadazetu wabebwa tu bora ngozi nyeupe status mrs mzungu aweke picha facebook na insta ajizalie afkasti basi wenyewe waona hayo ndio maisha mtu anaona kafanikiwa kweli ulaya kwikwikwi inasikitisha sana hapo huyo anony hawajui wazungu atetea hitler nawakati anaishi nae humo ndani watanzania tuamkeni msifagilie ujinga hitler kaua watu kibao ww eti symbolic world kwani hizo symbols sizimeandikwa kwenye vitabu takatifu vya dini au ndio nyie mume hana dini mke muislamu jina acha zarau hamna cha maana mnatia huruma nuru huyo utakuta ashinda nursing home apiga kazi kama kichaa mzungu hana career sasa stress za ulaya kutoka kwa mzungu aogopa majanga ya humo ndani ayajua yeye mwenyewe saa stress yote amaliza humu ndani kadata mpaka afagilia ubaguzi khaa kama umelogwa vile mfyuuuuuu