Vibaya hivyo mdau...umesahau km mtoa rizki ni Mungu..km hajajaliwa kupata mume unataka akajianike barabarani au awakamate kinguvu? Watu wengine sijui wana akili au wana imani za kishetani
hawa ndio wale mashetani wanaowaambia wenzao kazae hata na mume wa mtu hivi hujui mamii mashetani tunaishi nao tunacheka nao yaani huyo ni pepo muache apite uskute yake yamemshinda ya watu atayaweza,,,
watu wengine akili kama matope umri unapaa inakuhusu nini, kila mtu kuna anayopitia, maamuzi binafsi, na saa nyingine ni mipango ya mungu , kama wewe unao tayari sema asante mungu sio kutuma comment zisizokuwa na A,wala B . na kama unao omba waendelee kuwepo dunia si yako hii anything can happen. muwe munawaza postive saa nyingine LOOoh. mnatia kichefuchefu muda mwingine na maneno yenu ya ajabu.
pepo kweli nuru walahi hao ndo wale wanae dandia treni kwa nyuma hasubili mume wa kheri wala hachagui bora tu aonekane mujini nayeye anamume utakuta amezoa mzogo ndoa ndoana kwani angekua na maisha mazuri na ya furaha kwenye ndoa yke asingethubutu kuandika kumenti mbaya nyie tumewazoea mnastress na maisha yenu mwataka kutoka kwenye ndoa mcharo ila mwaogopa kusemwa sasa jazba mnamalizia nyuma ya computer kutukana wenzenu kwenye mablogu poleni mwayego negative life=negative mind meacheni nuru wangu miaka mia mm pia sijaolewa na wala sitaki kila kitu ni mungu na mpango wa mtu binafsi sio lazima kwa kua rafikio kaolewa na ww pia kisa teddy anafamilia na ww pia kha mashindano ya kizembe wengi wenu mwakimbili vindoa vya ushochoroni kisa tu msisemwe au kisa umri unasonga haolewi mtu ili tu niolewe nataka kitu roho inapenda hata nikifika 40 sawa tu nyie mwenye ndoa zenu mnastress za kufa mtu hatutaki kuchaguliwa km nyie tunajiamini.com bora niwe single kuliko kua na mume asie niheshimu wala kujali hisia zangu nyie mumebarikiwa namitahira wengine mibabu yani vinasikitisha.com wabongo bwana mtu anathamini kuolewa kuliko elimu au kujijenga sijui mtakua lini grow up nuru hebu weka topiki tuwachambe hawa haswa hao wanaojifanya kusemwa wenzao ndoa zao ni vita.com
6 comments:
umekazana kuweka wenzio wewe umri unapaa !
hahah na kesho ukiingia tena utakuta nimemuweka mwengine,,kantangazeeeeee lol!!!
Vibaya hivyo mdau...umesahau km mtoa rizki ni Mungu..km hajajaliwa kupata mume unataka akajianike barabarani au awakamate kinguvu? Watu wengine sijui wana akili au wana imani za kishetani
hawa ndio wale mashetani wanaowaambia wenzao kazae hata na mume wa mtu hivi hujui mamii mashetani tunaishi nao tunacheka nao yaani huyo ni pepo muache apite uskute yake yamemshinda ya watu atayaweza,,,
watu wengine akili kama matope umri unapaa inakuhusu nini, kila mtu kuna anayopitia, maamuzi binafsi, na saa nyingine ni mipango ya mungu , kama wewe unao tayari sema asante mungu sio kutuma comment zisizokuwa na A,wala B . na kama unao omba waendelee kuwepo dunia si yako hii anything can happen. muwe munawaza postive saa nyingine LOOoh. mnatia kichefuchefu muda mwingine na maneno yenu ya ajabu.
pepo kweli nuru walahi hao ndo wale wanae dandia treni kwa nyuma hasubili mume wa kheri wala hachagui bora tu aonekane mujini nayeye anamume utakuta amezoa mzogo ndoa ndoana kwani angekua na maisha mazuri na ya furaha kwenye ndoa yke asingethubutu kuandika kumenti mbaya nyie tumewazoea mnastress na maisha yenu mwataka kutoka kwenye ndoa mcharo ila mwaogopa kusemwa sasa jazba mnamalizia nyuma ya computer kutukana wenzenu kwenye mablogu poleni mwayego negative life=negative mind meacheni nuru wangu miaka mia mm pia sijaolewa na wala sitaki kila kitu ni mungu na mpango wa mtu binafsi sio lazima kwa kua rafikio kaolewa na ww pia kisa teddy anafamilia na ww pia kha mashindano ya kizembe wengi wenu mwakimbili vindoa vya ushochoroni kisa tu msisemwe au kisa umri unasonga haolewi mtu ili tu niolewe nataka kitu roho inapenda hata nikifika 40 sawa tu nyie mwenye ndoa zenu mnastress za kufa mtu hatutaki kuchaguliwa km nyie tunajiamini.com bora niwe single kuliko kua na mume asie niheshimu wala kujali hisia zangu nyie mumebarikiwa namitahira wengine mibabu yani vinasikitisha.com wabongo bwana mtu anathamini kuolewa kuliko elimu au kujijenga sijui mtakua lini grow up nuru hebu weka topiki tuwachambe hawa haswa hao wanaojifanya kusemwa wenzao ndoa zao ni vita.com
Post a Comment