Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Friday, May 30, 2014

ANGOLA AND KWANZA ORG WE SAY THANK YOU AND LETS DO THIS AGAIN NEXT YEAR INSHALLAH.COM!!!

 WITH MY WII,,





 BELLISIMO,,





 MR D TUNASHKURU KWA PICHA NZURI,,




 THIS BOY IS IN A BOYBAND WITH TWO SWEDES AND THEY ARE DOING VERY WELL ON THE CHARTS,,,



 WENZETU DANCE ZAO NI KUKUMBATIANA TUU,,BODY TO BODY HAHAHA

















 WHAT A COOL CAT,,VERY NICE LAD!!!

 STOCKHOLM CITYYYYYYYYYYYY,,,


FROM ME AND THE BLONDES.COM,THATS ALL FOLKS BUT WAIT BEFORE I GO I HAVE TO APPLAUD THE ANGOLAN COMMUNITY AND THEIR KWANZA ORG FOR ARRANGING A PLEASANT PARTY AND THE FOOD WAS REALLY NICE,AHSANTENI!!

NINGEPENDA WATANZANIA WANGEJARIBU HATA KUWA NA FAMILY DAY AU KUSHEREHEKEA CHRISTMAS,EID MAANA HAPA WAPO WATU AMBAO HAWANA NDUGU SO KWANINI UBALOZINI HAMUWAFANYII KITU WANANCHI WENU WAKATI UWEZO MNAO WA KULETA WASANII FOR EVERY HOLIDAY,,
WEKENI A DECENT KIINGILIO NA MUWE MNALETA WASANII FOR BIG HOLIDAYS NA INDEPENDENCE DAY YAANI HUWA SIWAELEWI KABISA NA WATU MMEKAA KIMYA TU.KUNA VITU VINGI SANA MNGEWEZA FANYA MNGEKUWA NA UMOJA KWANINI BALOZI HAIFANYI IFTAR SIKU MOJA NA WAKAJA WAISLAMU NA WAKRISTO KUFTURU JUST A DAY INATOSHA AND THE SAME AROUND CHRISTMAS KUWA NA CHRISTMAS DINNER NA WATU WAKAJA,,
KUNATAKIWA KUWE NA CHAMA AMBACHO MTU AKIFIKA KUWE NA MWANASHERIA ANAWAFUNZA WATU SHERIA ZA NCHI NA WASWIDI WANAISHIJE N.K,,
KUNA WATU HAWANA SEHEMU ZA KUKAA KAMA MNGEKUWA NA CHAMA MNGEWEZA HATA KUWA NA NYUMBA MOJA INAYOWASAIDIA WATU PAKULALA TUU KUWASTIRI.MNATAKIWA KAMA CHAMA MNGEWEZA FUNGUA SHULE AU MNAPELEKA WATOTO SHULE MNAWALIPIA ADA TUU HIVI MNAONA KUTOA SHILLINGI KORONA MIA TUU NI NYINGI ILI MTOTO AWEZE PATA ELIMU TANZANIA,,MNGEKUWA MIA MOJA HATA KORONA ISHIRINI INATOSHA,,
NAJUA KILA MTU ANA MAJUKUMU YAKE ILA I ALSO KNOW KUWA KUTOA NI MOYO NA SIO UTAJIRI,NIMEMALIZA.COM

4 comments:

Anonymous said...

Ni kweli unayosema Nuru, Ila kusema kweli sisi wafrika tumezidi tabia za kifitina, kusemana mabaya, wivu, chuki na madudu mengine lundo ambayo ni negative badala ya kuwa na attitude positive kati yetu sisi wenyewe. Na nasikitika kusema sisi Wa Tanzania kama hatuongozi kwa hiyo hali negative basi karibu tutaongoza especially tukiwa Ughaibuni.Kwahiyo hata wakijaribu kufanya hayo ma gathering kuna watakao ona ni bora kujikalia ndani mwako tena ukasheherekea na nationalities zingine kuliko kujichanganya na waswahili. Tungejifunza kubadilika tunakuja europe kupata exposure kubadili mienendo yetu ya tabia na maisha kiujumla ili tupate maendeleo kwetu binafsi na kwa taifa letu!!!!. Ila for a few am sorry to say ni kama ndio tupo abroad kuvurugwa, kuvuraga, na kuvurugana.....mfyuuuuuuuuuuuuuuu

Majanga matupu said...

Wee mdau hapo juu, u said it all. Nuru unafikiri hakujawahi kuwa na hizo Tz' community abroad? Zilikuwepo na zipo katika nchi mbalimbali, lakini hata hizo zilizo active ni shiiiiiiiiidaaaaaaaa dot majanga. Uswahili kushinda tandale, watu wanasutana na kuchukuliana mabwana kutwa.. kiruuuuuu.. I gave up na wabongo majuu.. mfyuuuuuuuu

Anonymous said...

Naona mambo ya "Pasada" hapo, kukumbatiana ndio mpango mzima!! Nuru hilo pozi la juu ya choo mi hoi!

NURU THE LIGHT said...



hahahha pozi.com mdau yaani ilikuwa ni kukumbatiana tuuu,,body to body stomach to stoamch hahahhaah,,,


wadau i feel ya nimewaelewa vizuri sana mmeongea point kuna watu wako ulaya ila wanaoishi tandale wana afadhali maana mentality haijabadalikia hawajapata exposure yoyote,,hiki chama cha hawa ni thee best one kwa hapa sweden kwa nchi za kiafrika nimeona africa day yao walivyoipangilia mpaka mwili umenisisimuka,,,its sad kuwa hamuoni matunda mnaendekeza ubinafsi.com