Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, April 9, 2014

FACEBOOK STATUS FROM SETH DE JESUS GIOVANNIE!!





Nimekuwa najiuliza sana kwanini siku hizi Wanawake wamekuwa Vicheche balaa....Hawatulii...Sio kama zamani...Na nimepata jibu sasa....Sio kosa lao wala
NI KOSA LETU WANAUME
Hawatulii kwa sababu HATUWATULIZI
Zamani ilikuwa rahisi kusikia Wanawake wakihadithiana "Yaani My Man ananiduu mpaka natamani nikimbie kitanda"..Siku hizi hizo stori utazisikia mara 1 kwa miaka 3...Wanaume Kazi kushnehi
Tunawapa shida Wanawake...Hata walioolewa siku hizi ndo maana wanakimbilia nje kutafuta pumziko...Zamani ilikuwa nadra sana Mke wa mtu kuliwa nje...ila siku hizi dakika 2 tu...wanavumilia wanachoka...unamgusagusa utadhani dadako huyo...Mpe vyombo aombe Poo...
KOSA NI LETU WANAUME
Dakika 3 tu unatiririka na kibamia chako na mbilimbi...Unakoroma...hujui mkeo yuko njiapanda ya Morocco au Mataa ya Sayansi...Unategemea nini??
Endekeza tu Bia...Burger..Broiler Chicken...Ukifika uwanja wa Taifa unapaisha Penati
Mwanamke Mpe Vogue Mfungulie kila biashara.. Muachie na ATM yako yenye Mabilioni ya EPA na KAGODA...Kama Bed Tennis unachemka atachepuka tu
Wanaume wa Kibongo nipigeni Mawe lakini tumeishiwa Sanaa ya Kitanda..Tunafikiri tukihonga na kum-monitor yuko wapi na nani anafanya nini ndo Mahaba...Ukipewa unarukia tu kama bata mzinga...Nje kifua kikubwa....unatinga suti..gari kaliii...Haya chakula hiki hapa baba kula...unaishia kusomola somola tu na kumchafua mdada wa watu anabakia anasonya kimoyomoyo..CHAGUA 1

Jifunze Mapenzi kwanza lasivyo ACHANA NAYO

3 comments:

Anonymous said...

hahahaha nimevunjika mbavu.

Anonymous said...

Hahaha seth nakupa saluti

Anonymous said...

Truth been told jamanii.