Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Saturday, January 11, 2014

KHERI KUACHANA KULIKO KUSALITIANA AND IT WILL TAKE A WOMAN TO CHANGE THIS SITUATION BCOZ OF MFUME DUME,JOYCE KIRIA YOU ARE GROWING ON ME DAY BY DAY!!!






Hii ni coment yangu kwenye post yangu ya kumsapot Nyongamkalia Ini wangu, povu limewatokaje sasa!! Hasa wasaliti wa Ndoa wako hoi.... heheheiyaaaa "Povuuuuu povu povu....kiruuuuu tuliza boli, mapovu yananilowesha ngoja nichukue mwamvuli... nampenda mume wangu kwa raha zangu na kwa shida zako... Kupendwa nipendwe mie chuki na wivu uone weye...nipishe mie!! Namfia anaenipenda. kwa sasa najua kupendwa.. atakapobadilika tupa kureeeeee... Mapenzi kupendana siyo kukerana....Hiyo ndo kanuni yangu Joyce Kiria Kwenye maisha ya Mahusiano. I love me my self and I, kwa misimamo yangu ambayo inatetemesha wasaliti wa maisha yao wenyewe na wasaliti kwenye maisha ya watu wengine. Ni afadhali mara 100000000% kuachana kuliko kuumizana na kudhalilishana kwenye mahusiano... Najua watu wengi wanatokwa na Povu because that is what is missing in our politics. Mrs Clinton alipokuwa First Lady alimuuliza Jackie Kenedy anmshauri kuhusu kuwa kiongozi bora naye akajibu "anzia nyumbani kwako" ndiyo maana mumewe alikuwa almost impeached kwa uhusiano wake na yule intern. Kinachonishangaza hapa Tanzania viongozi wetu hawaoni hata haja ya kuomba msamaha au kujiuzulu pale wanapovunja maadili na miiko ya uongozi, yaani wengi wanaona ni halali kabisa! na mbaya zaidi hata Wanawake wamekuwa sehemu ya kubariki uzinzi / Usaliti kwenye jamii yetu kwa kisingizio kwamba Afrika ni jambo la kawaida.. Mbaya zaidi hata umma wetu hawaoni kosa mwanaume kutoka nje ya Ndoa badala yake anaonekana yeye ni Dume la mbegu matatizo yakizidi kwenye Ndoa (migogoro mingi ni ya Usaliti ndani ya Ndoa) na Mwanamke akaamua kukataa Usaliti aidha akaifutilia Ndoa mbali ili abaki huru kwa amani,watu wanamshangaa na kumshambulia hasa Wanaume pamoja na baadhi ya Wanawake waliomezwa na Mfumo dume, kwa kuwa wanaume wengi ndiyo zao hizo! Amin nawaambia It will take the women to change this attitude na MIMI JOYCE KIRIA ni mmoja wao. NIMEAMUA INIGHARIMU LAKINI NITASIMAMA MAANA MAOVU YAMETAWA... Mimi Joyce Kiria nasema kweli kabisa Tangia Mume wangu Henry Kilewo anioe nachokijuwa ni kuheshimiwa na siyo kudhalilishwa... Kilewo wangu yupo juuuuuuuuuu zaidi ya wote... Go my love Henry goooo! Note: heri kuachana kuliko kusalitiana... Tokeni sana povu nina misimamo yangu..." Hutaki kanywe Sumu...... nikiripoti kutoka hapa kwenye Mtima wangu ni mimi Joyce binti Kiria....

3 comments:

Mischa said...

Hujakosea kabisa Da Joy,siku hizi maadili hamna fashion imekuwa kubeba waume za watu,na kudhalilishana.

Anonymous said...

Nampenda huyu dada,it's sad kwakweli kuona wanawaake bado tuna approve ujinga wa wanaume ex,kuwa na nyumba ndogo.

Disminder orig baby said...

Wallah nazidi kukupenda bureeee.
eti mwanaume afanyalo yeye sahihi!! huu usaliti kwao wanaona rahaaaa!!!

mimi pia nakuunga mkono. hakuna kukumbatia maumivu tuishi kwa amani.

HERI KUWA SINGLE KULIKO KUKUMBATIA NDOA KIDONGA KINACHOKULA TARATIBU MWISHO WA SIKU UNAZIMIKA KWA MAUMIVU YA NDANI.

KILA SIKU NAWAAMBIA WATU, NITAOLEWA HATA MARA MIA LAKINI SITAKUMBATIA MARADHI YA WASI WASI ETI AIBU!!!

UMPATE AKUPENDAYE KWA DHATI, MUISHI KWA UDHATI.
HAKUNA KULIA NA MITO SIKU HIZI. LAZIMA TUSIMAMIE HAKI. KAMA ANAMPENDA KWELI NA DINI INARUHUSU AMUOE TUMTAMBUE!!!

MXXXXXXXXXX.

NI JUZI TU HAPA KWETU, KUNA DADA MASIKINI, KAZI YAKE KUCHORA CHORA WATU HENNA, MWANAUME ANAISHI ANAKOISHI YEYEY KILA SIKU MAISHA MAGUMU, HAMHUDUMII MKEWE, YEYE AHANGAIKE MAHOTELINI NA MITAANI KUCHORA WATU, ALISHE WATOTO, ASOMESHE WATOTO, WAMEJENGA KA BANDA KWA KUSHIRIKIANA HIVYO HIVYO LAKINI NGUVU KUBWA YA MKE!!

MWANAUME YEYE KILA SIKU MAISHA MAGUMU. RUDI AFRIKA KAMA MAISHA MAGUMU UKAE NA FAMILIA MSHIRIKIANE TARATIBU.

MAKUBWA!!
JUZI JUZI KARUDI, NA KWENDA KUOWA MKE MWINGINE DAR NA ANAONDOKA NAYE KWENDA NAYE HUKOOOO KULIKO MAISHA MAGUMU!!! YAARABI JOYCE I WISH UNGENMUONA MWANAMKE HUYO ANAVYOLIA KWA UCHUNGU.

HAKATAI MUME KUOWA LKN MBONA WAO HATA HUDUMA INAMSHINDA? VIPI AKAOWE? KUMBE LONG TIME ANA KIMADA NDIYO MAANA FAMILIA KAITUPA.

MXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX
WATOKOMEEEEEE