Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Friday, December 27, 2013

IT IS WITH SADNESS AND HEARTACHE THAT AM POSTING THIS ABOUT MY FORMER EMPLOYEE ZENAH WHO PASSED AWAY DUE TO NEGLEGANCE,ALL THE REGULARS CONTRIBUTED FINANCIALLY FOR HER FUNERAL WHICH WILL BE HELD TOMORROW IN MOSHI.I WISH YOU COULD HAVE SEEN HOW MUCH WE LOVE YOU ZENAH,LALA SALAMA!!!



 MY JEMBES,MY FAMILY AT THE LIGHT,,
MY ZENAH ON THE RIGHT,,
 ZENAH NI MSICHANA AMBAE  alikuwa akifanya kazi kwenye mgahawa wangu The Light toka siku ya kwanza nimefungua she was with me,, kuna wakati wenZake walichukua likizo yEyE alibaki peke yake mpaka nikawa namuita jembe langu,,, Alikutana na kijana na kuMPA mimba ikabidi aache kazi,, na mimba yake alikuwa akija kula pale na kututembelea,, Zenah akazaa but akapata complications NA kufariki,, ni mtoto mdogo sana only 20 alikuja kwangu akiwa 18,,, Zenah naskitika cwezi kukuzika, istoshe ameacha mtoto mchanga, baba wa mtoto hakumjali inavyotakiwa so she died because of neglegance,,YOU started with me kwa hilo sitokusahau maisha maana mliifanya mgahawa wangu watu waje,watujue,wale,wanywe,warudi tena,

ZENAH we will miss you Dearly,ulale salama mdogo wangu gone too soon but we will never forget you,kila mteja kakuchangia kwenye mazishi yako hiyo inaonyesha kuwa ulikuwa unapendwa!! Ulale salama my Zenah, rip!!!!!

WANAUME KAMA MNJUA HAMKO TAYARI KUWA BABA AU MZAZI BASI TUMIENI KINGA NA WANAWAKE TUMIENI BIRTH CONTROL,KUNA WANAUME WANAITWA WANAUME NI VILE TUU WANA MHOGO BETWEEN THEIR LEGS BUT USELESS,KIFO CHA ZENAH KIMENIUMA NI MSICHANA MDOGO NA HAKUWA NA ELIMU KUBWA BALI ALIKUWA MCHAPA KAZI HATARI BUT UNFORTUNTLY SHE MET A WRONG PERSON,,PUMZIKA ZENAH!!!

3 comments:

Anonymous said...

Oooh Poor Her. Pumzika kwa Amani binti. Ni mdogo mno jaman. Pole Nuru.

NURU THE LIGHT said...



AHSANTE MDAU NI MDOGO SANA NA HILI JANGA LINAWAKUTA WASICHANA WENGI SANA TANZANIA,,

Juce said...

RIP zenah and may god take care of ya lil angle for the rest of her life!!