Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, December 18, 2013

HILI JANGA LIMETOKEA LEO ARUSHA,THE PEOPLE BEHIND IT ARE ETHIOPIAN AIRLINE WITH BOEING 767 YAANI I REALLY HATE THIS AIRLINE FROM THE BOTTOM OF MY HEART NI WAZEMBE SANA!!!

SOURCE ITV TANZANIA


NA SASA HIVI NASKIA KIVUKONI KIGAMBONI KUNA JANGA HILI,,EEH MUNGU WASAIDIE MAANA HATA CJUI ITAKUWAJE,,, Kivuko kikubwa cha MV Magogoni kinachofanya safari zake kati ya Kivukoni na Kigamboni jijini Dar es Salaam kimekosa muelekeo majini katika bahari ya Hindi kikiwa na abiria na magari baada ya injini zake kushindwa kufanya kazi.

SOURCE:ITV TANZANIA

10 comments:

Anonymous said...

Hi Nuru!

Naomba tu nikusahihishe kidogo. Ethiopian Airlines hawako responsible kwanini ndege yao haikuweza kutua KIA, hitilafu zilitokea katika uwanja wa KIA na ndo ikapelekea waelekeze ndege hiyo kutua katika uwanja mdogo wa Arusha. Kwahiyo hapa kosa sio la Ethiopian Airlines, ni kosa la KIA. Na hata hivyo uwanja wa ndege wa Arusha na runway ya Arusha ni mdogo sana kwa ndege size hii, ndo maana ikaishia kwenye majani, so instead of saying you hate Ethiopian Airlines you should probably praise the pilot because he/she did a very good job landing the plane with no casualties in such a circumstance. As a blogger you should avoid misleading people with your news, you might have not done this before, but once people read things their mind sets are changed, and as you know most people don't like to research and find the root of the cause, watakachokisoma ndo hicho hicho kitanata akilini. I hope hutanielewa vibaya, wote tunafundishana hapa. Love your blog, and the inspiration you give others through it.

Keep It Up!

Anonymous said...

Dear Nuru

Bila shaka leo nimeona Ujuha wako leo kushabikia airlines za wazungu na Kuponda airlines za waafrika wenzako. Mimi nimekuwa nikifly EThiopian miaka 5 sasa na kwa kweli wanajitahidi wako vizuri...kwenye hii case tatizo lilikuwa sio Ethiopian airlines bali ni uwanja wenu mbovu wa Arusha ambao hata tunavoongea umefungwa for maintentance think before u speak You fool! Eti i hate ethiopian we una ndege? paa na ungo...waafrika wengi sana fly ethiopian affordable good service kuliko wanvoypigwa bei zaa ajabu na western european arabic airlines hebu jifunzeni kusifia vya kyenu siku moja...na kingine fuatilia habari kabla ya kupost ..Rubani alitumia nguvu za ziada sana kuland hio plane katika uwanja wetu mbovu na kutoka kila mtu hai...hebu siku nyingine usitangulize 'I hate so and so' tanguliza na thank God everyone was safe maana unavunja mioyo ya wale waliosaidia kila mtu kuwa hai kwa ajili ya uzembe wa nchi yenu. zimetokea casualties karibia 4 wiki hii za ndege kutokana na uzembe ya mamlaka husika, mbona hausemi i hate Precision walio pasukiwa na tairi? Badilika tafadhali. Ni hayo Tu


Muafrika aliyekasirika.

Anonymous said...

i think the problem wasnt with Ethiopian airlines but idk

NURU THE LIGHT said...



NIMEWAELEWA WADAU NASHKURU BUT MM TATIZO LANGU NA ETHIOPIAN NI SIO HII INCIDENT ILOTEKEA TUU JANA ARUSHA BALI AS A WHOLE AIRLINE IN GENERAL,,I STILL STICK TO MY OPINION BUT IT IS MINE MTU ATAKAYETAKA KUSAFIRI NA WAO SIMKATAZI BALI NITAKWAMBIA WHAT I THINK OF THEM,,MBONA KUNA MASHIRIKA KAMA RYANAIR AMBAYO NI MABAYA PIA ILA HELA NA UAMUZI NI WAKO,,NASHKURU WATU HAWAKUFA NA ALOSAIDIA NDEGE IWEZE KUTUA VIZURI HONGERA ZAKE SANA,,
ANON WA KWANZA CJAKUELEWA VIBAYA HATA KIDOGO BCOZ YOU GAVE ME CONSTRUCTIVE CRITICISM AMBAYO ITANIJENGA NA SIO KUNIBOMOA,,UBARIKIWE

Anonymous said...

Anoyn wa kwanza. I think you should not condemn Nuru for her opinions. Secondly, if you know anything about aviation, you should know, that Boeing 767 would never land in that small Arusha airstip, unless it was emergency, which in this fiasco it was not an emergency situation, but the incompetent of the pilot. Thank God he was able to land that plane with all passengers and flight crews on board safely. Moreover, your story is not accurate. The Ethiopian pilot here is the one who is going to have to answer questions for not following proper landing clearance. Initially there was a small airplane with flat tire at KIA runway, ndiyo iliyochelewesha Ethiopian plane to land. The pilot on his way back after getting cleared by KIA tower to land akakosea na kutua Arusha. He told tower he had visual for runway 27, tower cleared him to land, but he had visual for 27 Arusha. KIA and Arusha runways have the same markings. It is normal to have same runway markings, They are based on wind directions. Ila KIA has instruments to differentiate the two which the pilot did not use them.

Anonymous said...

Nuru
I had to agree with you, Ethiopian airways is the worst airline I have ever use so far. I'm writing this from personal experience, first time I used it, they lost my luggage, and the second time, lost they luggage again! The frustrating part is, I've never got them back, and the Ethiopian airline did not reimburse me for their uzembe! Some people have great experience with them don't get me wrong, but personally, I would never recommend this airline to my family/relatives or friends.

NURU THE LIGHT said...



thank u anon wa mwisho na anon wa 11.36 nyinyi mmenielewa vizuri sana ni airline ya kizembe i wudnt even recommend it to myself,na ww unayesema nchi yenu mwenzangu were r u from´´´´´´

Anonymous said...

Nuru hapo sasa ndo ungetuelewesha kuwa you hate the airline for other reasons. Sio kwa sababu ya hii issue.
Afu uko uko unaandika habari za Kigamboni na ferry, what was this post abt again??!

NURU THE LIGHT said...



MNGESOMA VIZURI MNGEELEWA MY POINT TATIZO HUWA MNARUKIA KILE MLICHOONA KWANZA TUU,,N I ALSO HATE THEM KWA HII ISSUE PIA KWANN MNARUSHA NDEGE ISOKUWA NA MAFUTA YA KUTOSHA???,,,

YES HABARI YA KIGAMBONI WAS HAPPENING WAKATI NARUSHA HII HABARI YA NDEGE AND I FEEL IT WAS JUST AS IMPORTANT AS THE NDEGE INCIDENT,,

Anonymous said...

kwakweli me nasafiri sana lakini huyo wa kuibiwa mzigo sijui...South african airways na Kenya airways ndo mzigo hupati ngo'o ndo unaibiwa airport lakini sijawahi pata tatizo na airline hii Nuru u need to offer public apology kwa hili unawachafulia tu wenzako kama its ur own personal reasons basii....pia jamani hubby wangu ni pilot kosa lilikuwa sio la Ethiopia kulikuwa na tatizo KIA ndege ilikwama kwenye runway imenasa na huyu pilot wa Ethiopia aliaambiwa asubiri karibia saaa nzima....suala sio mafuta yalikuwa kidogo bali hayakutosha kuendelea kusubiri na Kuland na kuendelea kuzunguka kumbuka flight yake ilikuwa sio ya dar es salaam unawekewa mafuta ya route yako na ya emergency ya emergency yakaisha alivokuwa anazunguka ikabidi jamaa atue popote sio kosa lake pia ukiwekewa mafuta mengi sana ndege itazidisha mda wa kufika mda itakuwa too heavy so unawekewa mafuta ya route na emergency....