Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Monday, December 23, 2013

HIKI NI MOJAWAPO YA KITENDO CHA UKATILI KWENYE OPERATION TOKOMEZA,,THIS IS THE REASON MAWAZIRI WANNE KUVULIWA MAMLAKA.SIKUDHANI NTAONA PICHA KAMA HII KUTOKA NCHINI MWANGU KWAKWELI NIMESKITIKA SANA!!


2 comments:

Anonymous said...

OMG what happened to human rights??

Anonymous said...

Ukatili upo Dunia nzima,ukikuta binadamu hana roho ya huruma .Ila hao Askari sidhani kama ni wakibongo
Tazameni vizuri .
Hata mawaziri wakitolewa wote haki inachelewa kufika nchi zetu za kimasikini PESA MBELE UTU NYUMA:
Angalia jinsi mwizi anavyo sulubiwa. Nilisoma gazeti wiki ilopita mwanamke kabakwa Morogoro akanyongwa kisha akawekewa chupa ya bia kwa mbele na nyuma ya Soda.
Tujiulize tunaelekea wapi???

Nimesoma Psykologi
nikasoma Pychological theories of Stigmund Freud. Jinsi binadamu tulivyo ndo yote na yaona Duniana . Kuna mtu anatamani akuumize ila mawazo yakwana yanakuj aah mwache, mawazo ya pili anaingiwa na uruma na hathubutu ,na kuna ya tatu inasema mmalize huyo .Tukimweka Mola mbele tutapendana .hata hao polisi hawan imani