Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, November 13, 2013

I AM SO PROUD OF YOU MILLEN MAGESE,YOU INSPIRE ME ASWELL AS OTHERS.NOT ONLY ARE YOU A FORMER MISS TANZANIA,MODEL BUT YOU ARE ALSO AN INSPIRATION TO SO MANY,KUTOA NI MOYO!!!

 HAPINESS MILLEN MAGESE,,


 I could only afford 55 desks ,they hv total of 289 desks the school has over 1000 kids . If we join together we could help our govt and correct the situation all over Tanzania .Follow ur heart .I Was Here !Come join me here or be there for someone else and change their lives forever . Make a difference ,Make a change.Much Love!!!





LEO NNAONGEA KUTOKA MOYONI MAANA NIMEKAA KIMYA SANA NAENDEKEZA UJINGA BADALA YA KUONGEA POINT.FIRST OF ALL NATAKA KUMPONGEZA MILLEN MAGESE FOR DOING THIS,,HII NI MARA YAKE YA PILI ANAFANYA KITU HIKI AND PROBABLY KAFANYA ZAIDI NI KWAMBA TU HATUFAHAMUAU  HAJAONYESHA.I HAVE BEEN SUPPORTING MILLEN AND ALOT OF PEOPLE IN MY BLOG SINCE THE DAY I STARTED NA NI MTU MMOJA HUWA ANANIANDIKIA NA KUSHUKURU KWA HILO.

FLAVIANA MATATA,MILLEN MAGESE,DAXX HANS,TEDDY KALONGA,IDA LJUGKVIST,SHERIA NGOWI,THE FASHION IDUSTRY AND THE MUSIC INDUSTRY IN GENERALL NKIACHA WATU BAKI AMBAO NIMEKUWA NIKITANGAZA BIASHARA ZAO AU WATU BINAFSI NIKIWARUSHA HUMU.
HAKUNA MTU NA NARUDIA TENA HAKUNA BLOGGER AMABAE ALIKUWA AKIONGELEA TASNIA YA MITINDO KAMA MIMI NLIVYOANZA KUBLOGUA NA WANAMITINDO MPAKA WENGINE WAKAFUATA.I KNOW FOR A FACT KUNA WATU NIMEONGEA NAO NA KUWAPA MOYO ILI NA WAO WAANZE KUWA NA BLOG ZAO ILA MIMI SIO MTU MUONGEAJI SANA NA MPENDA MISIFA KWASABABU MUNGU ANAONA KILE NINACHOKIFANYA NA NAFSI ZAO ZINAWASUTA WENYEWE BALI LEO NIMEAMUA KUONGEA FOR ONE REASON ONLY NI KWAMBA NIMECHOKA KUONA TUNASUPPORT UJINGA NA UJINGA NDIO UMEPAISHWA KILA SIKU YA MUNGU NI UDAKU NA KUTUKANA WATU MITANDAONI.

HIVI HAMCHOKI,HIVI MKIMUONA MILLEN AU NURU THE LIGHT AU SHERIA NGOWI HIZI STEPU WALIZOPIGA KIMAISHA NAFSI ZENU HAZIWASUTI?
HIVI NYIE NI TAIFA GANI,TAIFA LISOLOTAKA MAENDELEO?
TUNAWACHEKA WATOTO WETU WANAOPATA DIVISION 5 ILA WEWE UNAFANYA NINI ILI WAPATE ELIMU BORA?
MTU UNAMUOMBA BUKU AU WATU ILI MUWEZE FANYA KITU MSHIRIKIANE ILA YEYE ANAONA KHERI APOSTI INSTANGRAM IPHONE5 AU SAMSUNG AU MADOLA KULIKO KUTOA ILE BUKU MKAMSAIDIA MAMA TU ANUNUE MAZIWA YA MTOTO AU KUWACHANGIA WATU TU VYANDARUA ILI WASIUMWE NA MBU,,
TUNAAMBIWA UMOJA NI NGUVU ILA MWAFRIKA HAJUI MAANA YA HILI NENO,,
HIZI ROHO ZA KWANINI HUYU AWE JUU ZAIDI YA MIMI NDIO KITU KITATUUWA NA KUTUANGAMIZA,,
INFURITY COMPLEX MPAKA LEO 2013 TUNAMPAISHA MZUNGU WAKATI MNAKUNYA MAVI YENYE HARUFU MOJA,,
NAANDIKA HIVI BECAUSE AM SAD,NAANDIKA HIVI BECAUSE I THOUGHT TUMEENDELEA,NAANDIKA HIVI MAANA NAJUA NIMELELEWA NA MWANAMKE WA KIAFRIKA WHOS THE STRONGEST WOMAN ON EARTH BUT SORRY TO SAY SIO WENGI NAWAONA LEO,,
WAKATI NILIPERFROM KWENYE WOMENS ACHIEVEMENT AWARDS NDIO SIKU NILIJIFUNZA TUNA WANAWAKE WHO ARE MAKING A DIFFERENCE,,HAO HAWATOSHI NATAKA KUONA WENGI ZAIDI BECAUSE OUR YOUNG GIRLS NEEDS ROLEMODELS
MKIJIULIZA WATOTO WENU MNAWAACHIA MFANO GANI MTAJIJIBU NINI,,
UNAAMBIWA THE CHANGE STARTS WITH YOU USIMSUBIRI MWENZIO NA SLOWLY BUT SURELY MWENZIO ATAKUONA NA KUKUIGA HAYA MAISHA YA KUSHINDANA NANI ANAZAIDI HATUTOFIKA SEHEMU YOYOTE AND THERE WILL ALWAYS BE SOMEONE WHOS RICHER THAN YOU,PRETTIER THAN YOU BECAUSE THATS THE REALITY OF LIFE.
TUBADILIKENI,TUWE NA UMOJA,TUPENDANE,TUWE WAELEWA KUWA KUNA VITU VINACHUKUA MDA KUMILIKI,TUJIPENDE,TUJITHAMINI,TUANZE KUJIAMINI NA KUAMINI KUWA WANAWAKE KWA WANAUME TUNAWEZA NA TUKIONA MTANZANIA MWENZETU ANAFANYA TUMPONGEZE NA KUMPA MOYO ILI NA WENGINE WAWEZE KUPATA MOYO WA KUFANYA.,KWA MWENDO HUU I THINK THIS IS GONNA BE MY LAST YEAR BLOGGING,,KUTOA NI MOYO NA WALA SIO UTAJIRI,NIMEMALIZA.COM!!

11 comments:

NURU THE LIGHT said...


HII KOMENT NIMETUMIWA NA MDAU FB NDIO NIMEICOPY HAPA MUWEZE ISOMA,, watanzania sie kama kidonda ndugu hatuponi wala hatusiki adhana ya msikiti wala kengele ya kanisani so kufika huko tunategemea miujiza coz wachache wenye moyo safi wanavunjwa na wengi wenye mioyo ya giza na kutu,kazi kusifia upumbavu tu mitandoni mfyuuuuuuuuuuuuuuuu!!!

Ooooh!! Utazeeka siku sio zako mama, baba wa watu kaongea weee na vitabu kaandika lakn nn kinatokea na kuendelea tz leo sio sie wanch wenyewe sio viongoz alshakumu sio matusi but wote kichwa cha mwendawazi coz hatujielewi, so dnt stress yo self
.Kuna interv moja fid Q alisema kuwa watu haswa wa tz wanafanya vitu kwa kugezana so kama ataamua kuboresha kitaa kwake ataweka rami nje ya nyumba anayokaa so kwakuwa hulka yetu ni mgezo basi jirani nae ataweka kwake hadi mwsho wa siku mtaa wote unarami, may tht wei hahahahahahahahahaah,,

NURU THE LIGHT said...



KOMMENT ZA HUYU DADA ZIMENISAIDIA SANA KUELEWA VITU AMBAVYO NLIKUWA SIELEWI MAYBE BCOZ SIJAKULIA TANZANIA KUNA VITU VINANIPA SHIDA KUVIELEWA AT TYMS BUT SHE HELPED ME ON THAT,,THANK U AGNES!!

Anonymous said...

aisee nuru I wish tz yetu tupate watu kama nyie watano tu kila mtaa lbd tutabadilika, unaona mbali sana we mdada

Anonymous said...

nuru hme kwetu wananiambia nanunua vifurushi kwaajil yako hahaha najua nnachokipata nw najiamin hatar kwasababu nimejifunza kwako

mischa said...

Kweli sana watu wanapenda sana kujionyesha wao ndo wao,akishapata jina badala ya kuleta maendeleo wanaleta skendo tuu,majungu kusemana na vinginevyo fanyeni vitu vya kukuza uchumi wa Tanzania.

Anonymous said...

Leo umeongea sana tena nahisi umeongea kwa uchungu sana, yote uliyosema ni very true, tumekuwa wepesi sana kushabikia upumbavu kuliko mambo ya msingi, nahisi the so call call celebrities wanapaswa kuwa mfano bora kwa vijana wengi wanaochipukia, na pia hata majumbani mwetu wazazi tuwe mifano bora kwa watoto wetu tujifunze kusaidiana, tutoe kwa moyo na wanetu wataiga mifano mizuri mwisho wa siku maendeleo yatakuwepo tu

Anonymous said...

Umendika viuri sana, ila huwezi kuweka white text with caps on black background unaumiza macho, kwa sheria ya desing ya website hii si nzuri.. jaribu kubadilisha Rangi ya Text na background.

You make a lot of sense ila utakosa wasomaji coz of that small web dsign fault.

NURU THE LIGHT said...



thank you mdau wa mwisho i will work on that worry not if ama still be blogging that is,,

MISCHA WATZ WANAPENDA KUSOMA MABAYA YA WATU NA SIO MAENDELEO,,NATAKA NICHALENGE BLOGGERS WENGINE NIONE KAMA HII NEWS YA MILLEN ITARUSHWA SEHEM NYINGI,,ukifanya mazuri hausifiwi na haupewi promo maana watanzania wanapenda kusoma vibaya na ukiwa huna watafanya juu chini wakutungie,,yashanikuta im speaking from experience,,kutwa tunakaa kudhalilisha hao hao mastaa wetu do u think thats fair,,do u think huo ni uzalendo na as long watu hawajitambui watashindana mpakaaaa jehanam

ahsante mdau kamaunamaliza bundle kwa ajili yangu it means my work is done i have reached atleast one person,,endelea kujiamini

nashkuru tuombee tupatikane wengi zaidi ya watano,,shukran

lEO NIMEONGEA KWA UCHUNGU SANA BCOZ TUNAPOTEA MDAU TENA TUNAPOTEA MNOO IT IS SAD I AM CRYIING FOR A BETTA TANZANIA,,

Anonymous said...

Nuru umeongea neno instagram imekuwa ni ya kupost mtu kavaa nini monday to Sunday...na kuweka design bag tena feki...gari la familia mtu anaweka uwongo juu # thannks hubby fo new car# viatu kabati zima...sasa kweli mbongo huyu huyu akirudi kwao. Ni kulala guest au hotel. Na ni kwao sasa kinamshinda nini mtu asijenge hata kibanda cha kushukia? Wakati Insta yeye ni kuonyesha utajiri wa mali na vitu anapiga pamba??? Watz tufungue macho kujionyesha na kusemana kwenye Instagram haisaidii....saidia kwenu, toa msaada....

Anonymous said...

Wanawake hatupendani nimegundua kitu kwako unapenda mafanikio na unatamani Kila mtu atambue michango Yao kwa jamii jambo ambalo limekua gumu kwa watu wengi.. Kungekua na mabinti kama 10 wenye blog kama ww na mawazo ya maendeleo na kusaidiana kama wewe aisee watt wetu wangepata cha kujifunza .. Ila waliopo wengi blog zao matusi tu na kusifia ujinga.. I love u Nuru keep supporting our own.

Disminder orig baby said...

A BIG AMEEEEEEEN.

UWA NAANGALIA NA KUSOMA VITU NACHEKA TU. ILA INAUMA SANA KWA SABABU HATU ACT SAWA NA ELIMU ZETU AU NAFASI ZETU TULIZOPEWA NA MUNGU.

JAMANI TUKIPENDANA HAKUNA ATAKAYEMCHEKA MWENZAKE, COZ MWENZAKO AKIKOSEA AU AKIWA ANAPOTEA UTAMSHIKA MKONO WA UPENDO NA KUMPA MWONGOZO.

WENGINE TUNAJIKOSESHA RIZKI KWA HUSDA NA CHOYO.