Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Sunday, September 22, 2013

REDDS MISS TANZANIA WINNER HAPPYNESS WATIMANYWA,YEAR 2013!!!


 HAPPYNESS WATIMANYWA,,
 NIMEKAPENDA ESPECIALLY HER COMPLEXION,,

 TOP 5,,

KUNA WATU WAMELALAMIKA KUHUSU ZAWADI WANAZOZITOA MISS TANZANIA PAGEANT,,IN A WAY NAWAELEWA IN A WAY SITAKI KUONGEA SANA KWASABABU SINA ELIMU MUHIM KUHUSU HILI SHINDANO BUT OFFCOURSE CHA MSINGI NI KWANGU MIMI NI KWAMBA BORA MSICHANA ATAKAYESHINDA MISS TANZANIA AWE NA MAZINGIRA MAZURI DURING HER YEAR KULIKO KUMPA GARI LA MILLION 70 AU HAMSINI FOR ME CHA MSINGI ANAKAA SEHEMU NZURI,ANA USAFIRI,ANAPATA ELIMU NA MUONGOZO MZURI,,NASKI AHAPPYNESS ANA AKILI SANA NAMTAKIA MWAKA MWEMA NA NAMTAKIA KILA LA KHERI!!

PHOTOCREDITS:SANGAFESTO BLOG

5 comments:

Anonymous said...

to me she deserve it nuru huyu happiness ni kichwaaaa balaa hopfully hatatudhalilisha and she look a like miriam odembaaa all the best to her.nuru naomba utuwekee list ya best na worst kwenye red carpet na make up please tunaisubir kwa ham

NURU THE LIGHT said...



nikishapata picha za redcarpet will do at tyms ni kazi kuzipata inakuwa shida kuweza kuchambua,,ill see wat i can do!!

i wish her all the best!!

Anonymous said...

that is the most hideous crown i have ever seen! dah

Disminder orig baby said...

she deserve it Nuru. I watched toka wako hotel. na niliwaambia watu anachukua na alipopata miss photogenic tu, nikampa ushindi.

Disminder orig baby said...

kama mtu unajua kusoma watu.
Huyu binti ametoka katika familia bora. not financial sijui hilo. ila namaanisha familia yenye malezi bora.

juzi yuko TBC1 katika kipindi anaitwa happiness anaitika Abeee (huu ni mfano tu kuhakiki kauli yangu hapo juu)

huyu dada ukimuona tu unajua ni binti mwenye nidhamu na akiongea unapigia msitari. jamani akiulizwa swali anajibu katika msitari, hapayuki ovyo ovyo.

na kama kuna watu waliona wakati anaenda kupewa gari. watakubali maneno yangu.
Binti wa chuo, Dar hiyo, na huko kote duniani alikoishi but kuwa vile? maybe ilikuwa shock ila ni msichana mtulivu sana. si town girl.

tunakuombea Mungu akuepushe na vishawishi. Ameen