Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Saturday, August 31, 2013

SHE DID ITTTTTTTTTTTT,LULU MICHAELS AT HER MOVIE PREMIERE WHICH IS CALLED FOOLISH AGE!!!HONGERA SANA!


 DRESSED BY UNIQUE COLLECTION BY LULU FROM UK!!!


HER MAKE UP AND HAIR WAS FLAWLESS,I LIKE THE FACT THAT SHE KEPT IT SIMPLE YET CHIC.SHE CHANGED INTO A SECOND OUTFIT WHICH WAS A RED DRESS WITH DETAILS!!

12 comments:

Anonymous said...

First she need to go to school !

Anonymous said...

U go first!! Idiot!

Anonymous said...

Xul first dat true, utajuah mengi zaidi ya idiot kam utavyojuah wenzako.

Anonymous said...

mpeni hongera zake kama anafanya vizuri jamani duu mbona wabongo tuna roho ya kwanini?

Anonymous said...

Tumeona watu na PHD zao, lakini wana act kama MALUGU (naibu waziri wa elimu) usililie akili ya darasani bibi wee.... lilia general knowledge, common sense na exposure! Idiot na ukoo wako..

NURU THE LIGHT said...



mimi nikiongeaga mnasema mkali,,watz wana virus ya kutokusifiaaa wadau yaani hapo roho inawauma.com,,mpe mtu hongera n fanya yako na ww upewe hongera,,na hili neno general knowledge nimelipenda ghafla hahahhah

Anonymous said...

Mpe nikichwa madai yake ana general knowledge!! Mdau wa kwanza na wapili they are right, but lulu alipendeza!!!! Luk' very great

Anonymous said...

Kweli utabki ku2kana idiot hivy hvyo yapo meng 2 uta2kana w2 they have respect by da way. ....!!!loook good..

Mdau Uk said...

Yaani Nuru.. I m sick n tired na wimbo wa Taifa.. nenda shule!? na yeye shule imemsaidia nini tunabanana nae humu kazi yake kusengenya watoto wa watu.. ndo shule hiyo?? mfyuuuuu.. wengi sana wana attend madarasa wanatoka bila bila! tupo nao.. mfyuuuuu na ukoo wake..

NURU THE LIGHT said...



hatujasema shule sio muhim,elimu sio muhim ila hapa hatuongelei elimu,,issue ya hapa mtoto wa kike kazindua filamu yake,mpe hongera kwa hicho na mfahamishe kwa uzuri lulu ningependa pia usome,,
wangapi wamesoma na ustaarabu zero!!
elimu ziko za aina mbili,shule ziko za aina mbili,ya darasani na the actual life.
kuna watu wako ulaya na shule bure but still wataandika hapa asome wao kutwa kushinda mablogini na kuponda watu,,yaani point ni ile ile anzeni kusifia watu wakifanya vizuri labda then na nyie mtafanikiwa na yenu!!ahsanteni
sikujua hii post itakuwa mada ghaflaaa na bado niko na general knowledge hahahah nimelipendaje hilo nenoooo.com

Mdau uk said...

Asante Nuru.. u said it all. tatizo la wabongo akiona umempita life, anaona wapi uko weak napo ali akupige jiwe... huo ni wivu.com hakuna lingine.. tumeona kina Steve Jobs.. hawakusoma ki hivooo.. lakini walibarikiwa na common sense!! afu nyie so called wasomi bongo mnapenda dharau wasio soma... aliyekupa wewe ndo aliyeninyima mie.. hatuombani chumvi.. life goes on..

Disminder orig baby said...

Hell Nooooooo!!!!

Ukipeleleza watu wenye Njuruku chafuu ulimwengun % kubwa shule nehiii.
So? Siku hizi kusoma pesa yako atasoma tuu.

Hey hatua kubwa sana kwa alikotokea.
BIG UUUUUP LULU.
WEWE KAZI TU USISIKILIZE DISAPOINTAZZZ LABDA KWA KISWANGLISH TUTAELEWA ZAID.

KIPO MUNGU KAKUWEKEA BT WEWE MZURI na KWELI THE GREAT ALICHAGUA.

All The Best. U dd it grl