Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Saturday, June 15, 2013

WARNING;SENSITIVE IMAGES!!



MABOMU ARUSHA LEO KWENYE MKUTANO WA CHADEMA SOWETO,ARUSHA
SIJUI NANI ANATAKA TUPOTEZE AMANI YA NCHI YETU,ASHINDWE KABISA KWA JINA LA MUNGU!

6 comments:

Anonymous said...

Jamani mie naona serikali iiingilie hili swali kwa kasi kubwa ama sivyo inakuwa kama fashion sasa kulipua mabomu!!! Inasikitisha sana maana the Tanzania that was once so peaceful is gone, the new Tanzania ni mabomu, visu, bunduki na sime!!!!! Kweli namna hii tutafika? Halafu Watanzania lazima tuelewe kuwa na vyama vingi haimaanishi vita, na uhasama jamani!! Tanzania inaogopesha kwa kweli!!!

Anonymous said...

This is a very sad situation!! What is happening in Tanzania right now is shocking! Ndo maana hata Obama ameshindwa kuja, maana Tanzania kila leo kuna milipuko, kila leo kuna midundo ya bunduki, kila leo kuna moto umewashwa wa kuua watu!! Obama being the president of the free world hawezi tembelea nchi isiyo naamani hata kidogo. Hiyo waliyo sema ni gharama kwa yeye kuja Tanzania ni geresha tu, mbona Bush na Clinton walikuja kutembea? Tanzania imesha kuwa Noma aiseee!! Eee Mungu Ibariki Tanzania na watu wake. Amina!

Anonymous said...

chichiemu chama cha majambazi. hii inaonyesha ni kiasi gani chama tawala pamoja na jeshi lake walivo daifu! eendeleeni kula damu za halaiki mungu yupo malipo yote hapa hapa duniani jamani

Anonymous said...

uwiii Tanzania inaenda wapi jamani
siasa
udini
ukabila
ua nini????+
HIVI MNARUSHA MABOMU VITA MMEIONA KATIKA TV ANGALIENI HUKO KWA WENZETU NDO MJUE MADHARA YAKE LOO
MUNGU AWAANGAMIZE WOTE WACHAFUAAMANI YA NCHI YETU

Anonymous said...

STOP THIS!!!!! WALA MSISINGIZIE VYAMA, HII INAONEKANA KUWA FASHION YA KUMWAGA DAMU NA KUHATARISHA MAISHA YA WANANCHI!!! MIE NATAKA KUMWONA RAIS WETU AKIKEMEA VIKALI TENA KWA NGUVU ZOOTE UGAIDI HUU. NA SIO RAIS KUKEMEA TU NA WAMBUNGE NA MAWAZIRI, MADIWANI NA WAKUU WA WILIYA ZOOOTE. HALAFU HAWA MAGAIDI WAMEFANYA ARUSHA NDO MAKAO YAO, KWAMAANA HIYO JIJI LA ARUSHA LIWE KWENYE ULINZI MKALI NA MSAKO MKALI KABISA. KILA KONI IMULIKWE.

mdau us said...

MAGAIDI?WAKATI NI MAPOLIC WETU WENYRE..MSITAFUTE CHA KUPOTOSHA