Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Thursday, June 6, 2013

KHADIJA KOPPA AFIWA NA MUMEWE JAFFARI ALI YUSSUF,POLE SANA KHADIJA!!



 Baadhi ya viongozi na wananchi wa mkoa wa Rukwa na Mpanda wakimsindikiza kuapanda ndege msanii wa taarab na malkia wa mipasho Tanzania Khadija Omar kopa kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda baada ya kupewa taarifa ya kufiwa na mumewe Jafari Ali Yussuf aliyefariki Dunia leo alfajiri kutokana na ugonjwa. Bi Khadija Kopa alikua akitokea kwenye Maadhimnisho ya siku ya Mazingira Duniani kitaifa yaliyoadhimishwa Namanyere Mkoani Rukwa jana
 NA HUYU NI MAMA MZAZI WA MUME AU MAREHEMU WA MUME WA KHADIJA KOPA.,POLENI SANA KWA MSIBA HUU!!
PHOTOCREDITS:SAOMON FRANK NA GLOBALA PUBLISHERS

No comments: