Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, June 12, 2013

ANDREW THANK U KWA KUTUELIMISHA,KEEP ON TEACHING US!!!




Unajua people wanabeba concept tu za kuiga bila kufanya upembuzi. Seriously mi manzi yangu ukimuita bitch! Though najua women wako weak ila patachimbika. 

Hivi mnajua maana ya bitch!? Maana siku hizi wanasema ndo swagga kuitana "bad bitch". Eti ni sawa na kumpa creditials manzi classic na amabae hashkiki kwa uzuri.

Sasa skieni nyie mnaojiita bad bitches. Bitch ni mbwa jike; na wanafananisha na mbwa jike maana anazalishwa ovyo na kutelekezwa. if u didn't know. Na wenzetu wanatumia hii kumpoint out mwanamke malaya, na hii ipo kwenye black society kimbefenge. Tena ni kwenye movie tu ndo utaskia hii kitu, ukitamka mtaani unaweza waka file a law suit of insulting a fellow citizen with diserable intentions. Sasa nyie mnayabeba sijui ndo kwa nicki minaj mnayaleta huku. An african woman na bitch wapi na wap?

Despite mapungufu yenu still ningetafuta neno lingine la kuwatusi ila sio bitch. You are better than that. Mbona diva liliwafaa au ndo kwenda na wakati. Muda wa kujiita diva ushaisha siku hizi ni bad bitches. I respect u! We respect you! Usitumie neno bitch bana. Laiti ungejua an african woman is a pride of Africa itself msingekuwa mnaigaiga.

2 comments:

Anonymous said...

mwambie huyo mtoto mshamba saana.cjui ndo mambo ya kujaa mjini ukiwa mtuu mzima.anaiga afu bonge la mlavumbi. mi nshaaampa ofa mwezi mzima mbere kula kulala mimi aje aoche macho angalau ushambenga utamuisha. anakaugonjwa kakutakuja marekani ilaa visa imekua ngumu na mualiko. atulize kinena

NURU THE LIGHT said...



KWANN NIMWAMBIE WAKATI WW MWENYEWE UNAWEZA FANYA HIVYO,,!!