Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Saturday, February 16, 2013

NAY WA MITEGO IN A CAR ACCIDENT!!





 Msanii wa muziki wa kizazi kimpya Ney wa mitego amepata ajali mbaya akiwa na gari lake aina ya Alteza akizungumza na teentz Ney alisema... 

"Ilikua saa tisa na nusu usiku nilikua natokea masaki kuwachukua washkajin zangu ndo nilikua narudi home Lory la mchanga liliingia nyuma ya gari langu pale kwenye mataa ya Maisha Club kwenda moroco na kwa bahati mbaya jamaa akakimbia kwasababu nahisi alidhani ameoua maana gari alienda kuingia kwenye mtaro...

Nashukuru mungu mimi mzima ila mguu tu ndo umeshtuka kidogo"......…
SOURCE;WWW.TEENTZ.COM

No comments: