Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Friday, December 14, 2012

JANUARY MKAMBA SPOTTED IN THIS BAJAJ!!

FIRST TIME I CAME ACROSS HII PICHA ILIKUWA FACEBOOK VILE WATU WENGI WALITOA MAONI TOFAUTI ILA WENGI WALIKUWA WAKISEMA KUWA KWANINI HATUMII USAFIRI HUU KILA SIKU NA KUUZA MAGARI WANYOPEWA BUT MM NNAVYOELEWA NI KWAMBA HUWA WANAPEWA MKOPO NDIO WANUNUE MAGARI AMABAYO YANAHUSU KAZI ZAO..,JE UNACHUKULIAJE SWALA HILI KUWA VIONGOZI WETU WANAWEZA KUTUMIA USAFIRI HUU,NA JE IS IT SAFE FOR THEM TO TRAVEL LIKE THIS???

1 comment:

Anonymous said...

Kama wanawaachia wananchi watumie hata wao pia wanaweza kutumia. Kwanza tusifikirie safety ya viongozi wetu what about the citizens? Kuuza magari yao itakuwa ni ndoto...sometimes wanataka kuonyesha kuwa wanajali wananchi wao kwa kuonyesha kuwa nao wanaweza kutumia usafiri ambao wananchi wa kawaida wanatumia! Lakini reality ni kuwa hawawezi kuuza magari yao na kutumia bajaji au hata mabasi ...