1. Ujumbe wangu kwako Hussein? (sharo) najua unaskia kila kitu cha dunia kwa ss ila huna uwezo wa kujibu wala kuchangia chochote kwa ss pole sn ni mipango ya Allah., huu ujumbe wangu mimi HAMMER Q au wajina wako ( HUSSEIN) km tulivokuwa tunaitana au kwa jina jengine tuliloitana utani ni MR FCBK ,dah roho inaniuma cos ni kitu cha gafla ila kwa mungu hakuna ugafla, ww umeshalijua hilo, cos kwa alie hai
     huwa ni ngumu kuamini hilo lkn yote inatokana na dk aloipanga mungu mwenyewe, kuna kitu kinachonishangaza kwa ss kila mtu anaongea anachokijua yy, na kila mtu nw anakujua sana kuliko vile, hata wale walokuchukia wakati ulipokuwa hai na wengine uliwajua kabisa walikuwa hawataki hata kuskia jina lako wala kukuona, ila leo ndo mashabiki zako wakubwa wakati umeshakuwa maiti ,na pia najuwa kbs msiba wako utafanywa biashara ya watu kwa ajili ya kuwaingizia na kisingizio kikubwa itakuwa ni familia yako. ila hawa ndo binaadam wanajulikana mda km huu ndugu yangu, ambao huna tena pumzi wala hufaidiki tena na wanachokifanya zaidi ya dua zao(baadhi) na huna tena kauli ya kuwakataza kufanya kitu cha kukudhalilisha, why wasikupe nafasi ya kutengeneza maisha ya familia yako kipindi upo hai ili uione furaha ukiwa na familia yako, dah!! Wajina binadam ni wabaya sn nikiwemo na mimi na ndo mana nimeandika hivi , cos ckuwahi andika ulipokuwa hai lkn nahic haikupaswa kuandika hv kipindi uko hai ,,,nikwambie kitu wajina ?? Leo vyombo vya habari na watu wote ni ww2 na nakumbuka safari ye2 moja tulokuwa tunaelekea mbinga tulikuwa na dude ulinambia kuna watu wanakubana sn , ss leo kila mda wanakuzungumzia huwez amini, na nimeielewa sn ile kauli yako ya siku ile tukitoka songea kuelekea mbinga wanasubiri niondoke km kijoti ndo watanipa promo kubwa dah nikweli bhana wajina hukukosea , nadhani na jibu langu lilikufurahisha sn , sina jengine wajina kubwa zaidi nakuombea kila la kheri ktk safari yako ya mwisho maana haitatokea tena, zangu mimi ni dua tu sina jengine wajina ulale pema panapostahili
    Like · 
  2. Ujumbe wangu kwako Hussein? (sharo) najua unaskia kila kitu cha dunia kwa ss ila huna uwezo wa kujibu wala kuchangia chochote kwa ss pole sn ni mipango ya Allah., huu ujumbe wangu mimi HAMMER Q au wajina wako ( HUSSEIN) km tulivokuwa tunaitana au kwa jina jengine tuliloitana utani ni MR FCBK ,dah roho inaniuma cos ni kitu cha gafla ila kwa mungu hakuna ugafla, ww umeshalijua hilo, cos kwa alie hai...See more