Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Tuesday, July 17, 2012

AND SHE LOVED THEM ALL!!!

 THE LATE STEVEN KANUMBA..,

 WITH JUMBE..,
 WITH CHALS BABA..,


WITH DIAMOND PLATINUMZ..,
KITU NNACHOMPENDEA WEMA NI KWAMBA AKIPENDA KAPENDA NA HUWA AFICHI.NA KINGINE NI KWAMBA YEYE HUONYESHA YUKO NA NANI WHICH I THINK ITS A Å PERSONAL THING..,JUST BECAUSE SHES OPEN ABOUT IT THAT DOESNT MAKE HER A...,NIMEMALIZAAAAAAAAAA

16 comments:

Unknown said...

very true

Anonymous said...

Love this girl with all my heart, because she is real, and open & when she love someone she wants the world to know that she is in love. I know u wanted apart from all that doesn't make her perfect. no one is perfect mkamilifu ni mungu peke yake. ni bor ayake tunayaona vp wale nyuma ya pazia.

Anonymous said...

i love that gal kupita maelezoo, alipendezana sanaaa na kanumba tu.

Anonymous said...

Ukiona wale wanawake wanatoboa matundu kibao masikioni na kuyashehezeza kwa ma gold na mikufu kibao na mapete kibao!. Ujue kisaikolojia huyu ni masikini wa roho na ananyanyasika na umasikini wake ili kijithaminisha mbele ya jamii, ndio anavaa hayo magold ili kujionyesha thats how one is worth!.

Niliangalia ile program, ni kweli kumiliki nyumba na vitu vizuri ni jambo jema, ila wote wenye jicho la pychoanalysis waligudua she is wounded psychological hivyo anafanya show off ili kujifariji!.

Sanaa ya uigizaji bongo tunaijua, top super star alikuwa Kanumba!, anachofanya dada yetu ni kuutangazia umma kuwa the topstar mwenye mafanikio makubwa zaidi kuliko wote ni yeye and she is worth 500 milions overnight!.

Kwa vile aliwahi kutukanwa kuwa hana kwake kila siku ni kuhamia kwa hivyo vijivulana vyake anavyovibadilisha kama nguo!, sasa ametulia ana kwake na kwa kule kwa mama yake amenunua new bedroom furniture na kitanda kimpya ambapo kesho mama yake atakionyesha na kueleza ndicho alichokuwa analalia tangu akiwa mdogo!.

Mimi binafsi japo sio mpenzi wa bongo movies, namkubali hiyu binti she used to be genuine, humble and down to earth kabla masifa hayampasua sasa she is overdoing things!.

Anahitaji msaada wa ushauri wa kisaikolojia!.

Anonymous said...

Anatakiwa kutulia pesa za kujisifia kiivyo bado hana!pia anatakiwa kujiheshimu ni kicheche sana huyu dada.

Anonymous said...

It's true mdau hapo juu,mi pia si mpenzi wa Bongo movie.....All what i can say she looked very realy alipokuwa na Kanumba

Anonymous said...

Mwacheni mtoto wa watu pesa hana, pesa hana, mmeshaona bei za nyumba za Kijitonyama kwenye mtandao? Mbona watu wote wanaonunua nyumba Mbezi beach, Mikocheni na kwingineko hamshangai wamepata wapi pesa.

Kwanza she has a stable income, anaingiza pesa akienda kwenye events; hii stable income yake inamuwezesha hata akitaka kukopa bank anaweza kukopeshwa ilimradi tu aonyeshe ni jinsi gani atarudisha mkopo wake. Mimi mwenyewe kuna nyumba nimeshaiona iko Mbezi beach inauzwa $350,000 nina mpango wa kuinunua kwa mkopo na nimeshaongea na bank tayari (mimi ni mwanamke pia). Dunia hii ukiogopa kutake risk hutafanikiwa. Pia yawezekana ni nyumba ya babake je?

Pili si kweli eti kuvaa urembo wa hereni na dhahabu ni kujishow off, au ni inferiority complex au una matatizo ya kisaikolojia. Urembo ni asili ya mwanamke na kila mwanamke anaoenda kujiremba kwa vito kama uwezo upo.

Tatu kuhusu suala la nyumba eti anaonyesha jamii alipokuwa analala Sinza na kitanda kimenunuliwa recently? Mbona hiyo design ya vitanda ni ya zamani tu jamani? Unless watu wamezoea vile vitanda vya kuchonga Keko, lakini kwa Wema inawezekana kilikuwa kwao siku nyingi, kwanza inawezekana Mzee wake alinunua pengine alivyokuwa nje ya nchi kama Balozi; au hata dada zake wameleta kutoka nje ya nchi, sioni ajabu hapo kwa wao kuwa na kitanda ambacho kwa wengine chaonekana modern au cha kisasa.

Mwisho wanawake asilimia kuwa tumepitia mahusiano na watu tofauti wakati ukitafuta mtu ambae unamuona perfect utulie nae. Ni wachache sana wako na watu walioanza nao relations tangia wakiwa wadogo. Na kwa wanaume pia hali ni hiyo hiyo. Sasa kama ni Wema kuwa na uhusiano na mwanaume zaidi ya mmoja ni malaya, basi wanawake wote waliopitia uhusiano zaidi ya mmoja nao waitwe malaya pia.

Leave the girl alone, ashakum si matusi wengine wanatunza bikra za mbele ili waonekane watakatifu ilhali za nyuma hawana. Wengine wanatengeneza bikra upya siku za harusi ilhali juzi yake katoka kulala na bwanake kabla hajaolewa na mchumbake. Mara 100 ya Wema yuko wazi kuliko mnaouziwa mbuzi kwenye gunia.

Anonymous said...

i like her no matter what she is not kicheche at all,she is very open when she is datin someone,all the best for ur future successful is not a big deal for her to own the hse she can!

Anonymous said...

Wema ana kila sababu ya kusifiwa na ambaye atamuona ana matatizo ya akili basi yeye ndio akapime yake kwanza.na hata kama anajionyesha wewe kina kukera nini? kwa nini akifanya wema ndio iwe mbaya? Nuru hebu waeleze maisha ya celebrities wa nje kama kuna kitu wanafanya bila kuutangazia uma, Juzi tu Drake kanunua nyumba Milioni 7.7 katangaza sijui beyonce kamnunulia Jay Z ndege. mimi hao wote wanoona kuwa Wema hawezi basi ni wivu na anaeuliza kapata wapi pesa nampa pole jamani opportunity zote hizi tulizotangaziwa na mheshimiwa Raisi bado mnauliza. Raisi amesema pesa ziko bank nendeni mkakope. halafu kama alivyosema yeye mwenyewe nyumba ameinunua na analipa kwa installment of which ni jambo la kawaida sana kwa wakazi wa Dar kwani kuna maeneno mengi ambayo wanauza nyumba kwa mfumo huo. ndugu yangu amenunua nyumba Bahari Beach na maelipia installment 3 kwa kipindi cha mwaka mmoja yy mwenyewe yuko UN Ethiopia. na Huyu owner anakubali hata installment 5 ni makubaliano tu jamani. tufurahie maendeleo ya wenzetu. na hata akionyesha ni chake na wewe tuonyeshe chako tukumbuke kila mtu ana mfumo wake wa maisha anao upenda. na suala la wanaume jiulize wewe huyo uliye nae ni wangapi na kabla ya hapo ulikuwa na wangapi? ukipata jibu shut the f.... up. kwa nini kunya anye kuku tu akinya bata kahara?

Anonymous said...

Utajitetea lakini wewe ni kicheche bwana...na wenye pesa hawajitangazi wewe hizo za kuchuna mabuzi ndo unapiga nazo kelele utazani sijui kitu gani?unaonekana uko na tress kuna kitu kinakusumbua ebu tulia unapenda sana kujionesha onesha mpaka majambazi wamekuja kukuvunjia lile gari ulilohongwa.

Anonymous said...

Ha ha ha! Tanzania kweli ni zaidi ya ujuavyo. Eti pesa ziko benki nendeni mkakope. Kaazi kweli kweli. Wenzetu wanahangaika nakuachana na mikopo sisi ndio tunakimbilia. Haya all the best my people!

Anonymous said...

aliendanika hiyo comment sio wema ni mimi na ujue wema hana muda wa kujibizana na watu kama nyie mliochanganyikiwa na maisha ndio maana vivu umewajaa. mmeacha kukupa sasa mnaibia wazungu kwa kuchanja makadi. na ukiona mwanamke anahongwa basi ujue analipa jaribu wewe uone kama hukuozesha hilo jicho. mamako asingekuwa kicheche sidhani kama ungekuwepo so leave her alone. and believe me kama ingekuwa ni wema basi angjibu kwa identity yake wala asingeficha cause she very open kwa chochote anachokifanya wala haogopi wanadamu watasema nini na hicho ndicho watu wanachompendea.

Anonymous said...

we hater tu, hata ujikusanye na ukoo wako wooote hamumfikii wema,hata kama pesa zake ni zakuchuna mabuzi, nawewe si ukayachune tukuone kama utaweza hata kununua kibanda mabwepande, mfyuuu.... tutokee hapa bwana, mwache wema na maisha yake, eti kicheche, kuna mwanamke ambaye si kicheche , wooote ni vicheche inluding dada, mama hadi bibi zako,

Anonymous said...

Huyo wema hana jipya anapenda kujidai kua yuko juuuu lakini wapi! Tulia wewe mwanamke maisha yatakuja kukuishia vibaya... Unajua namaanisha nini. Sasa unajidai sio wewe unajibu eti ni mtu mwingine? Acha kujitetea bana unajulikana kua wewe ni kicheche

Anonymous said...

Nampenda sana Wema.

Unknown said...

m lov u wema no mttr wat...