Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Friday, April 13, 2012

WHAT IS THIS JAMANI,,,YAANI KUMDHALILISHA MSANII KAMA HIVI!!!

AFANDE SELE NA 20%....,INANISIKITISHA SANA!!

3 comments:

Anonymous said...

Sister Nuru sipendi kurukia ni kweli au uzushi nasikia jujuu ni uzushi ni movie wanatoa ila wakaweka FB kuandika wezi watu wakarukia Comment za oh wezi noma jamaa bangi zimewaharibu.

NURU THE LIGHT said...

no sio ovie ni kitu kimetokea live kabisaa,,na hata kama walikosea kwann mtu anaamuwa kuwaanika hivi jamani,,bangi sio chanzo wala nini wako watu wanamiliki makampuni na wanavuta bangi,,bangi haichagui mtu bali mtu anachagua kuivuta yy mwenywwe

Anonymous said...

yeah Nuru, me mwenyewe navuta bangi toka niko 18 na sasa nina 34 nimeajiliwa na niko na kaubosire fulani, wanawadhalilisha tuu, police wanapenda sana kujuchukulia sheria mikononi, huwa na sema siku ya mimi kunitokea kama hivyo nadhani ndiyo utakuwa mwisho wangu wa kuishi hapa duniani najua wtanipiga risasi tu mwishowe maana sitakubali kabisa, hata kama unanikamata na bangi nipeleke kwenye sheria ikanihukumu, unanipiga wewe ni kama nani, aisee siwezi kubali kabisa