Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Saturday, April 14, 2012

ITS A DAMN SHAME!!!

SINA HATA CHA KUONGEA...,NNASIKITIKA TUU!!

2 comments:

Anonymous said...

duh hii noma sasa,wabongo mnalaana za ukubwani maana hayo mambo yenu ya kuamini ushirikina yanawafanya msifkiri mambo yaa maaana. mmuacheni marehemu apumzike maana kazikwa juuzi tu kila mmtu kashuhudia. wandishi wakibongo nadhani mtakua mmeuziwa ma vyeti hao maan taaluma yenyewe humielewi. pambafuz zenu. kichefuchefu

Anonymous said...

Kichufuchefu Waandishi wa Bongo, Kanumba alikuwa ni Mtoto wa kitanzania, Mtoto wa Binadamu wenzetu, na yeye pia ni alikuwa Binadamu kama nyinyi, Hata nyie Mtakufa na mtadhalilishwa kupita hivi, sio sahihi kwa hili mnalolifanya na Kwa wale wote mnaomzungumzia vibaya marehemu, sijui ni wivu kwamba yeye ni kipenzi cha wengi kuliko nyie??????? naomba jibu!!!!!! Kwanini mtu unamuonea wivu mtu ambae tayari anaitwa Marehemu???? MSHINDWE NA MLEGEE, MUACHENI MPENDWA WETU APUMZIKE KWA AMANI.....NYOKO ZENUUU WATU WAZIMA OVYOOOOOOOOO