Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Friday, April 13, 2012

ITS A DAMN SHAME!!

THIS IS NOT HOW WE CELEBRATE STEVEN KANUMBAS LIFE,,YAANI HAWA WATU WALOANDIKA AU MTU ALOANDIKA HIKI KITABU SIJAMUELEWA HATA KIDOGO,,HATUJAMALIZA HATA WIKI HIKI KITABU KIKO SOSKONI KINAUZWA,HIVI BINADAMU TUMEFIKIA LEVEL HII YAKUFIKIRIA HELA TU KWAMBA HATUNA UTU TENA!!
VITU KAMA HIVI NJE UNASHTAKIWA KABISA MAANA HATA SIDHANI KILICHOANDIKWA NDANI NI SAHIHI AU BASI TU,I MEAN WATANZANIA TUTAKUWA LINI KIAKILI,,BADALA TUSUBIRI ILI TUFANYE NA TUMTENDEE HAKI MAREHEMU NDIO KWANZA TUNAANZA KUHARIBU, I CAME ACROSS THIS THROUGH SOPHIA KESSYS BLOG NA YEYE KAANDIKA HAYO YANAYOFUATILIA HAPO CHINI NA NAMUUNGA MKONO WAKATI PIA NASEMA INASIKITISHA SANAAA TENA MNOOO..,

Je hii ni sawa Kutunga kitabu kinacho Muhusu Marehemu Kanumba na Kujipatia Ulaji bila hata ya Wanafamilia kujua ama watu husika kujua!! Kitabu hiki kinauzwa Ubungo Muda huu kwa TSH 3000.

NAPENDA KUTOA ANGALIZO KWA SHIRIKISHO MMESEMA KUWA MTAWASHUHULIKIA WOTE WANAO UZA NA KUTOA KAZI ZA KABUMBA BILA IDHINI NAAMINI KABISA KITABU HIKI WANAFAMILIA WANAPASWA KUNUFADIKA NACHO PIA.

LAKINI JE WALIOANDIKA YOTE NI SAHII KUHUSU HISTORIA NA JE WALIWASHIRIKISHA WANAFAMILIA JE NI HATUA GANI MMEZICHUKUA KWASABABU HATA SIKU 3 HAZIJAISHA TAYARI KITABU KIMETOKA VIPI MNASAIDIAJE HILO ISIWE KUONGEA TU VITENDO VIWEPO JAMANI.

SOURCE:SOPHIA KESSY

6 comments:

Anonymous said...

NuRu umesahahu Bongo hawajali utu? wanajali hela tu full stop. na hawajui justice kabisaaaa yaani ni hakuna ! watuw amesoma laywers kibao lakini wanachofanya ni uzembe sijui niite hadi inanichefua kuna vitu kma hivi na sheria haichukuliii seirous kabisaaaa anaacha tu bongo tambarare kabisaaaaaa wao wanasema kufa kufaaa ok boa nijibakia huku kwa qeen !

Anonymous said...

INASIKITISHA SIO KIDOGO SAWA NA WATU KUONGELEA KESI KAMA WANAIJUWA SUBIRINI HATA MWAKANI BASI MUDA KAMA HUU WASHTAKIWE KABISA. SEIF

Anonymous said...

DaDa Nuru INASIKitisha sio hili tu hata watu kujisemea kesi hata hawajui ripoti za polisi wala daktari hazijafika mahakamanni tunaongelea kusukumwa mtu au bahati mbaya hatujui kipi hasa kilittokea tusubiri kwanza mahakamani, au kama vile watu kuanza haki za mwanamke au leo kuwa mtoto haijakatazwa ila kuwe na vipimo vya haki kama walikuwa wanapenda haki sawa sasa leo basi haki ikimbie iwe kuhusu mwanamke haki ya mwanamke inavipimo na kesi kuwa haki ya mwanamke ila nakubaliana na umri tu kama kweli 17 zaidi ya hapo tumuache apumzike marehemu na familia wafikkirie ile migazeti ya umbea nayo isianze kuweka uongo wa kugonganisha mafamilia, kama baba yake Lulu kataka haki sawa ni kweli ila naye anatizama upande mmoja tu simlaumi ni mwanae, tuwe wastaraabu kwa huu muda, Kengine Dada Nuru yale mabango ya Dar Live kushu Watoto tzsh 2000 wakubwa Tzsh 7000 au 10000. Wameandika mpaka Jogoo kuwika wakimanisha Asubuhi Je watoto nao mpaka time hizo inafaa kweli watu wanakuwa washalewa sindio tunaharibu watoto kama dada yetu Nuru Show kama hizo uwe unawapigia mkwazo watoto mchana show zako hutaki kuwaona umri 17 kwenda chini usiku hasa ukiimba muhogo andazi lol? Tujaribu nasie kuweka sawa. Sawa Andaziiii weee from kahogo

Anonymous said...

Sorry sister Nuru nimetizama video watoto mpaka saa kumi na mbili sio mbaya wawe makini tu na watoto sehemu kama zile ulinzi utaratibu wa uwingi wa watu pia hasa watoto.

NURU THE LIGHT said...

NIMEKUELEWA MDAU WA MWISHO POINT YAKO..,TATIZO PIA NI UTARATIBU WA HIYO SEHEMU UTAKUTA MTU ANAFIKIRIA HELA HAFIKIRII MBALI,,NI KWELI SEHEM KAMA ILE BAADA YA SAA MBILI UCKU WATOTO HAWATAKIWI PALE,,SEHEM KAMA MBALAMWEZI WANATANGAZA JAMANI WAPELEKENI WATOTO NYUMBANI AFTER 8 KAMA SIKOSEI NDIO UTARATIBU WAO SO WE NEED MORE PLACES LIKE THAT..,

Anonymous said...

dah kweli wabongo hawajali utu