Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Friday, May 6, 2011

THE GIRL IN ORANGE OUR MOTHERS USED TO BE BEST OF FRIENDS UNTIL THE DAY SHE DIED SO IT WAS NICE TO SEE HER AFTER ALL THESE YEARS.., AT BP..,



JOHN SHIJA,ME and JEREMIAH WITH ONE OF HE BEAUTIFUL VOICES GOD EVER CREATED ON THIS EARTH..,





MERCY,MONICA ME AND ANNA..,







JIMMY,ME AND ERNEST..,











9 comments:

Anonymous said...

Huonyeshi majonzi wala nini km upo kwenye fashen vile shuti unatabasamu ndo abo ua ulaya?????????

Anonymous said...

poleni sana kwa msiba.
wapi hapo? i mean ni mji au kijiji gani?

Anonymous said...

sijaelewa ulimuelezea the lady in orange,naomba labda unielezee kwa kiswahili,maana kwa kiingreza ulichoandika sijui ni kigumu kama vile uyo dada naye katutoka

NURU THE LIGHT said...

hapana mama wa lady in orange ndio alikuwa rafiki mkubwa wa mama yangu mzazi mpaka cku yake ya mwisho..mimi na yeye tulikuwa hatujaonana miaka mingi sana n imagine kaja kwenye msiba..,

NA WEWE ANON WA KWANZA NAMUACHA MUNGU AKUHUKUMU WEWE NA MANENO ULOSEMA MAANA SI MIMI NILOSAFIRI TOKA MBALI KWENDA KUMZIKA MDOGO WANGU BINADAMU WENGINE NI WA AJABU SANA...,

Anonymous said...

Nuru Pole kwa msima mpenzi, achana na huyo shetani mwenye roho saba ,anataka tu kukuharibia siku. I knw u have got a smiling face even wen ure sad....Yeye kakuona kama upo kwenye fashion and that is a compliment in the other way round anakukubali.

Bado ntazidi kumwambia huyo anony wa kwanza kwamba asipoangalia vijimambo vidogovidogo kama hivi vitaja mtoa roho...Nuru kupendeza roho inampaaaaa kidudumtu first class .....kachambe ulale usitunukishie shombo ya uchi sisi''''na usisahau kupiga mswaki maana domo lako lanuka haswaaaaaaaaa Msxcziuuuuuuuuuu

Mdau

Anonymous said...

Poleh Nuru wat happen alipata ajali au aliumwa nini soo sad@anoymous wa 1 kwani kusmile ndo huna huzuni kuna wengine wanalia unafiki hujui mtu in deep down nuru travelled all da way kuja kuzika km show off alitoka huku hata mwez hana bu******f msonyooooooooooooooooooooooo

Anonymous said...

Mambo ya Ki-dhungu jamani.....alah!!!!!!!!!!!!!!!

Anonymous said...

Mi hizo raba tu.......... vumbi sana nini?

NURU THE LIGHT said...

hahahahah mdau aani watu walikuwa wanaibiwa viatu ila raba zangu walaaaaaa hamna mtu alikuwa na tym nazo..,ya kulikuwa na vumbi sanaaaa