Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Tuesday, March 29, 2011

WORST DRESSED WOMEN AT THE KILI AWARDS 2011!!

THIS IS JUST SO WRONGGGGGGGGGG..,TOO MUCH USHAROBARO!!
I LOVE THAT SHE WANTED TO STAND OUT BUT SHE COULD HAVE MADE AN EFFORT A LIL BIT MORE..,

I LOVE SAUDA BUT SHE NEEDS TO STEP UP HER GAME WHEN IT COMES TO HER SWAGG ON THE EVENTS..,

16 comments:

Anonymous said...

yaani uyu bi sauda ndio ameshashindikana kabisa kwenye suala la kuvaa labda tuwe yunamnunuli lol, uyu apo juu kabisa kama mcheza shoo wa twanga pepeta.

Anonymous said...

Mamii i think umekosea kutype instead of worst dressed women umeandika 'worst dresses women, badilisha fasta kabla mwalim medusa hajaanza kusahihisha, tatizo unakuwaga na haraka katika kutype\
Mdau

Anonymous said...

wewe Nuru wakivaa hivyo kinakuwasha nini? acha mambo ya kijinga. Endelea kuchambua watu,ngoja wakuchambua na wewe uone utajisikiaje, you are sooo 2005!!

NURU THE LIGHT said...

yes i am so 2005 na kuchambuliwa nimechambuliwa toka day one nimefungua hii blog na wataendelea kunichambua mpaka siku ya kufa..,

tatizo la watu ni kwamba who said just because siku hii hawakuvaa mm nilivyoona ni fashion forward usiku mmoja ndo iwe issue kubwaaaa..,when its not!!

Anonymous said...

Usionee sifa kuchambuliwa wewe. Tatizo ni kauli zako,na kwakuwa nasoma blog yako naona mara nyingi hupendi kukosolewa but you kukosoa wengine unaona deal.Hata kama alivaa chupi si yeye?
Ushauri tuu, stop kukosoa watu! kama ndo jinsi ulivyo hivyo sawa,kila la kheri

Anonymous said...

I thought this blog was all about positivity, may be I am mistaken. Leave this haterism to others, it just doesn't suit you, nor this blog.

Mdau

Anonymous said...

tatizo waabongo u super star tunaupenda sana na tunatamani na kuiga sana kutoka katika ulimwengu wa kwanza karibu kila kitu, lakini linapokuja swala la pressure ya huo u celebrity, hatuko tayari kupata huo ukweli, hiyo ndiyo raha yakuwa kwenye this industry, panukeni kimawazo msiwaze maugomvi tu kila wakati, alichokosea Nuru hapo ni nini? kuongea ukweli na kutoa her point of view?

Anonymous said...
This comment has been removed by a blog administrator.
Anonymous said...

Anonymous bora umemshtua kabla sijafika. Nuru don't take it personally, sikujui wala hunijui na uwezekano wa sisi kukutana in real life ni mdogo mno japo been to stokholm done that in stokhol,so chill and learn darling.

Medusa

nb:resist that urge to get defensive, learn from mange. That woman's gut is made out of steel as should any blogger's... Got me?

Anonymous said...

I dont think criticism is easy on anybody, no one wants to be told they look ugly or unpretty! If you are a famous person or not, they will always be ppl that will like you or hate you, will give good criticism or bad,.... but it´s up to you to take what you think is good and leave the bad. If you did not do it right this time, just dust it off and next time bring your "A" game. This is Nuru´s fashion blog and she is intitled to her own opinion, what she thinks is good or not, fab or faux, it´s her likes and don´t likes, she´s not telling you to like them too, just putting out her opinion, and hey to the stars published on this blog, they might or might not even care about this,.. so live and let live, at the end good or bad publicity is publicity at the end...... at least I did NOT know these ppl before they were published here!

Anonymous said...

nuru ni kweli wabongo hawajui kuva kama huyu jackline cjui asa ndio nini???? sauda anasikitisha kwani lazima waende wangevaa ata dera lohhhhhh Nashangaaaaaa......

Anonymous said...

Nuru,Joan Rivers wa Bongo.Wape wape mama,tatizo letu wabongo hatupendi kukosolewa.Kumbuka ukikosolewa ndo unajifunza.So mliokosolewa jifunzeni from this.

Anonymous said...

ulichosema ni sawa kabisaaaaa wala hujakosea,ivi ndo walivaa vitu gani ivyo? ivi huwa hawaoni wenzao nchi nyingine wanvovaa ktk red carpets na hasa za events km hii? yani ni vituko,utadhani wanaenda ktk mziki wa kufanya promotions ktk magari ya promotions,ndo nn walichovaa? ata km ndo kutafuta utofauti nadhani wangevaa mavazi ambayo wangependeza zaidi ili kila mtu ageuke kuwatizama kuliko huo ududu walioufanya.Hadi kizunguzungu kuwatizama,uyo mwingine si ni actress? sasa ayo mabuti na iyo outfit km anaenda mpirani ndo nini? au si actress ni mcheza mpira,mm ndo nakosea? whatu did is so right wasipoambiwa next time ndo wataharibu zaidi.

Anonymous said...

kuchamba kwingi ndiko kuondoka na mavi haya sasa hapo ndo uvaaji gani huo nuru? tatizo kama huyo jack kama anataka kuiga uulaya sana na kutaka kujitia usela wakati mwingine noma.

Naomi said...

kweli nyani haoni....Nuru haupendi kukosolewa.wewe kwa nini unakosoa watu??????
sikubaliani na wewe kwa hili kwa sababu haupendi kukosolewa kama ungekuwa unapenda kukosolewa sawa ningekubaliana na wewe.embu ona kuna dada hapo juu kakuuliza kidogo tu umepanik umemrudishia.ku

Anonymous said...

Halafu jamani ni mm mshamba tu au sijui ndo bado niko karne ya 20 ivi hizo hair style za vibwenzi km shwore imetokea wapi? mbona sijamuona ata mmoja tu aliyependeza nayo ata kidogo kati ya hao waliojibwenzisha? sidhani km kila style inapaswa kuigwa,yani km vitoto vya shworwe,haijaweapendeza kabisaaaaaaaaaaa.