Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Thursday, March 10, 2011

NURU THE LIGHT WITH HER DENIM ON!!
















20 comments:

Anonymous said...

stanning baby, stanning give us more....

Mdau

Anonymous said...

wala hujapendeza wanakuchora tuuu wenzako.mnaiga mastaa hamuwafiki ngo vguu vyembamba kama miwa,aibu tuuupu.mjiheshimu mshazeeka muachie watoto hayomavazi,nyooooooo

Anonymous said...

Mbona uko uchi dada,hiyo kaptula fupi sana hata kama ni maisha yako,kwa sisi wanaume tunakuchukulia vingine kabisa!!!

Anonymous said...

stanning baby, stanning give us more....

Mdau


LMFAO,Its not stanning,its stunning,why did you write in English while Swahili is our mother tongue????Mambo mengine bwana kisa kupenda lugha za watu....Na pia sio chuki lakini hajapaendeza mbona yuko uchi tu hapo,kila kitu kinaonekana....

Anonymous said...

The acid wash with the blue top look sort of trashy.... no very.. sijui kwanini Wabongo wengi wanapenda see-through lace it looks very trashy wen not paired ryt, true fashionistas cn pair it without lookin trashy

Anonymous said...

Ama kweli ukisikia kidudu mtu anaeimbwa ktk ule wimbo wa off side trick ni wewe anony hapo juu 12:25 am. kama vijimiguu vya Nuru vhembamba ka miwa, we inakuhusu nini? mwanamke kujiamini, piga picha na vyako tuvione basi! nguo avae mwenzako aibu uone wewe kama we sio mchawi ni nini? na unaposema kazeeka, we unatembea na birth certificate yake? acha uswazi wewe mnafki mkubwa ,we kama umezeeka ni wewe bibi na bado ndoa yako iko mashakani unafikiri hatujui kisa unaiga life style za watu, utaumia wewe kaa chini mlee mwanao na uibembeleze hiyo ndoa, Mxziuuuuuuuuuu

Anonymous said...

nimempenda uyo amanda amependeza zaidi kwasababu body yake inanyama kidogo hips zakishkaji

Anonymous said...

Wewe acha usenge Wako! Mbona hao mastar wa marekani wembamba na wazee wamevaa hamsemi kitu? Mtakufa midomo Wazi kwa kuhate! mavazi yatavaliwa na mastar wa kibongo Pia Takeni msitake!!! Nyooooooo huna jipya Wewe kaoshe Kuma kunuka kule.Nuru ni mwembamba na kapendeza Sasa Wewe hasira zako jibebe nazo hapa ni Fashion and beauty babyyyyyyyyy

Anonymous said...

Hehehee wabongo bwana? Hasira hasara hata mseme kitu gani Hakuna anaowaji tena Siku hizi! Watu wenyewe mnaowasema kila Siku Wako juuu sana! Tafuteni kazi Maana hizi kazi za kuandika comment za hasira hazina malipo! Life imewakalia kushoto basi kila mtu mnahasira nae, na Bado mtazidi kukoma!Nuru mwaga nyuki watoto wazuri tumewamiss.. Wera weraaaaaaaaaa

Anonymous said...

Halooooooo Mtakufa hamzijui Fashion mkizania ni mastar pekee ndio watakiwa kuvaa vitu vya kisasa, jamani Jifunzeni na nyie kuvaa mtaelewa watu kama Kina Nuru na wengine ambao they dont Give à FUCk Kuhusu watu kama nyie!!!!

Anonymous said...

LMFAO,Its not stanning,its stunning,why did you write in English while Swahili is our mother tongue????Mambo mengine bwana kisa kupenda lugha za watu....Na pia sio chuki lakini hajapaendeza mbona yuko uchi tu hapo,kila kitu kinaonekana...


Thanks for your un-invited clarification. Nimeandika hivyo makusudi and she looks 'STANNING' to me, wewe kama unaona yuko uchi ni wewe, and i am very much aware that swahili is my mother tang ,thanks for your information although i did not ask for any of your oppinions.....deal with it. Nuru go baby goooooooo achana na huyu mkaanga sumu asije kuonjesha sumu yake bureeeee na UMEPENDEZAAAAA ana your a star

Mdau

Anonymous said...

Mbona uko uchi dada,hiyo kaptula fupi sana hata kama ni maisha yako,kwa sisi wanaume tunakuchukulia vingine kabisa!!!

We ni ushuzi tuuuu , na unaonekana mwanaume suruali tu wewe na kama uliambiwa kuwa mwanaume ni kuvaa suruali basi umeula wa chuya maana hata madem wanavaaga suruali babu,MWANAUME Kamili hawezi kumdis msichana mrembo kama nuru kwa staili yako. Na pia endelea kumchukulia kivingine hivyohivyo na pia ukiwa unazungumzia mada zungumza kama wewe mwenyewe usiwainclude WANAUME WENYE MBOO ZAO, uwe unajizungumzia wewe kama wewe mwanaume suluali, kwanza unaonyesha we ni mario tu, Msonyooooooo.

Nuru Gooooooo dont turn back luv

MDAU

Anonymous said...

Jamani wadau naombeni mnijuze....eti LMFAO inamaanisha nini? ASAP

Anonymous said...

Mtakula kokoto na vyupa mabinti kwa kuumwa roho zenu nawaambia, wenzenu wanachacharika na mambo ya kisasa nyie mnaishia kulia na wivu! Mmesema toka enzi na Bado watu wanashine kwa kwenda mbele....Kuvaa sio kazi ndogo na ndio Maana sio kila mtu anaiweza Fashion na Pia sio kila umbo linakubalika na Fashion! Kwa hiyo mabinti nawaambia kazaneni na nyie itafika siku Labda mtapata Bahati za kuzijua hizi game za kisasa! Keep it real Nuru You are The one!!!

Anonymous said...

Akivaa mzungu sawa akivaa mwafrica kosa. wanakuonea wivu Nuru kwa sababu wenyewe hawana body ya kuvaa hivyo na mitumbo yao inaning'ing'inia.umewakomesha kweli.

Anonymous said...

Hehehe watu watavaa kwa raha zao! Kazi kwenu msiopenda kuona watu wamependeza!

Anonymous said...

Inaonekana sms nyingine unajibu wewe mwenyewe NURU.Kwanza huna hadhi... upo kibiashara (unatafuta mabwana)na sio kuielimisha jamii. Kavae hivyo mbele ya Baba'ko umwonyeshe hiyo fashion-Nyambafu wewe.KAZI KUIGAIGA TU. Huo muda unaotumia kuweka hizo picha bora ukasome magazeti ya zamani. (Isome kimya kimya ukipenda kuirusha powa) your best...

Anonymous said...

Kama kweli uanapitia hizi comment kable ya kuzirusha hewani kwanini uliweka ile ya matusi ilihali unajua kimaadili sio vizuri?.Tunaoingia kwenye hii blog hatufanini kitabia. Next time don't do this.

NURU THE LIGHT said...

MDAU HAZIITWI SMS ZINAITWA COMMENTS..,
NA PAMBA NTAVAAAAAA NA KUZIDI KUVAAAA NA KAMA UTAPENDA KUNIIGA MIE AU HUWEZI VILE HUJIAMNI HILO NI TATIZO LAKO NA BABA YANGU ANAONA HII BLOG N HE IS VERY PROUD OF ME MAANA ANAJUA KUWA KAKUZA MTOTO MWENYE AKILI NA ANA TABIA NZURI..NA KUMBUKA KUWA MAVAZI YA MTU NA TABIA YA MTU NI VITU VIWILI TOFAUTI!!

Anonymous said...

Nuru achana na hao vinuka mdomo, ama kweli watu wanawivuuuuuuuuuuu, na wivu ni kidonda kisichopona.

Endelea kupiga pamba kama kawa na utujuze kuhusu mambo ya fashions and current affairs.

Nuru LMAFAO inamaanisha nini?

Mdau wako wa ukwe'e