Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Saturday, May 29, 2010

THIS 3 YEAR OLD GIRL IS MISSING...,HELP IN ANY WAY YOU CAN.,




14 comments:

Anonymous said...

Kha! Dada! unatoa tangazo bila kufikiri au? Jina? Wapi? Lini? Ukiamua kufanya kitu, do it properly!

Anonymous said...

can u pliz give us much info.kapotelea were bongo au?

NURU THE LIGHT said...

yaa amepotelea bongo na this is all the info nimepata n instead of concetrating of mtoto kapotea mmekaa kukosoa jamani...,unafkiri hiyo sio kitu cha kuweka where to contact ppl kama ningekuwa nayo..,this how i could have helped atleastmtu akiona anaweza kwenda polisi,tv wateva umuhimu to get the info out na mtoto arudi home ameen..,

Anonymous said...

usiwe mkali tangazo halijakaa vizuri anakaa wapi tz maeneo na last time alionekana wapi nakadharika imebidi nisome comments wkanza ndio nimeelewa kuwa anatafutwa na wazazi wake la hasha very sad!

Anonymous said...

mami usikasireke, basi ungesema sina info zaidi lakini huyu mtoto kapote dar. Ndio ni muhumu mtoto atafutwe lakini unavyotoa info kama hii ni muhimu pia kujua tukio limetokea wapi inasaidia zaidi. Anyway asante kwa hii habari nanaomba mWENYEZI mUNGU MTOTO APATIKANE MZIMA NA SALAMA. AMEN

Anonymous said...

Jamani huyu mtoto mbona nilishawahi kuona tangazo lake kuwa amepotea siku nyingi?alipatikanaga halafu kapotea tena?au hakupatikana kabisa?yani huyuhuyu mtoto na baba yake hiyo picha lkn ni muda mrefu sana umepita.More info pls

NURU THE LIGHT said...

i got an email about this n the problem was it didnt say much only that shes lost and i should forward the email to the whole world and i got frustrated no name,location so atleast i said let me post it so that when ppl see it and knows something they can help.lets just pray that shes found and if not so she will be found..,ameen

if i get more info i will post it for sure...,

Anonymous said...

nI KWELI...i SAW THIS TANGAZO A WHILE AGO...NA EMAIL PIA...WITH THE SAME PHOTOS...ILA SIJUI ILIISHIA WAPI KAMA ALIPATIKANA AMA LA...NA HAIKUWA NA ANYMORE INFO.HATA ALIPOTEA KATIKA MAZINGIRA GANI HAISEMI.

Anonymous said...

sasa hapo umeongea vizuri nuru, maanake umjibu comment yangu na maasira leo dhu, wakati tulikuwa tu tunauliza more info.please help to find this little girl, I cant imagine wazazi wake wako na hali gani< poleni sana. waweke na kwenye TV jamani

NURU THE LIGHT said...

yaani tuombee huyu mtoto na watoto wengine duniani wapatikane...famila itakuwa kwenye wakati mgumu sanaaaa lakini mungu yuko nao...,i hope na tv wameweka..,

Disminder orig baby said...

Guys hapa suala ni kupotea kwa mtoto. Watu wengi tumepokea hiyo email, lakini kwa sababu Nuru anasehemu ya ku-publish sidhani kama amefanya kosa!! kwanza tulitakiwa tumpongeze amekuwa na moyo wa kusaidia kila anapohisi anaweza. Tuache kuvunja watu moyo na kuwafundisha roho mbaya na ubaguzi.

Anonymous said...

Tweety, hatujamvunja moyo Nuru, tunauliza info tu..wewe sasa ndo unataka kumvunja moyo!! yeye wala hajavunjika ndo mana katujibu vizuri

NURU THE LIGHT said...

ITS OK HAMNA ALONIVUNJA MOYO I THINK WE ALL GOT A LITTLE BIT FRUSTRATED NA SITUATION HII...,TUOMBE NA TUIOMBEE FAMILIA HII NA ZINGINEZO DUNIANI ILI WALOPOTEA WARUDI NYUMBANI SALAMA.,

Anonymous said...

oh dear huyu baby hajapatikana bado?eh Mola mnusuru mbariki na mpe nguvu na kumlinda popote alipo apatikane jamani..ingekuwa vizuri tungejua story behind it makes it easier but anyhow we pray for her well being..