Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Saturday, May 1, 2010

SING NURU SING!!!



I LOVE MY SMILE...,






IKAISHIA HIVI WITH MY FLATS...,DADA ZANGU NNAKUWA NABEBA ALWAYS FLATS WITH ME INCASE OF ANYTHING...,I ALWAYS CARRY MY FLATS WITH ME...,





21 comments:

Anonymous said...

hahahaaa nzuri hiyo.. Flat shoez zimenifurahisha mnoooo

Anonymous said...

afuu mazagazaga ya h&m unaaazimiaa !! mchumi sanaa ww maana huko shiingi kumi kumi tu mazagazaga kibao

mdau malmo

NURU THE LIGHT said...

etii eeh anony flats ziko juuuuu..,
na anony wa pili hata kama yangekuwa centi hamsini kwani tatizo ni nini wakati hauninunulii wewe,,nikivaa magucci nnaambiwa nnajionyesha na nikivaa hm mi mchumi sasa unataka nivae nini...,like always ntavaa wateva i feel like na kupendezesha roho yangu n i suggest u shud do the same aswell...,halafu chengine nadhani sijui umeona nimependeza sana na mazagazaga yangu aiseeee kazz kwel kwel

Anonymous said...

unaposema outfit sponsored by h&m una maana gani eti?

Anonymous said...

Nuru emependeza sana! achana na hao wanaokwambia mùara mchumi etc watu hawajui maana ya kuvaa wao designer ndo wanaona mtu umevaa ushamba sana achana nao!By the way napenda sana nywele zako ni rasta au extension? please niambie ningependa kujaribu
Irene

Anonymous said...

Nuru, mimi nakuzimia sana ...kwa kweli unajua kuvaaa, always nakuiga!!! uko juu achana na watu wenye wivu! wewe ni mzuri sana!
mdau Arusha

Anonymous said...

Nuru,
ni mimi tena mdau wa Arusha nimependa sana hizo nywele zako nitazipata wapi??? naomba email address yako tuwasiliane zaidi

Anonymous said...

umependeza bibie duh mbona huyo anomy hataki tu kukwambiaaaa.it doesn't matter umenunua centi ngapi.

Anonymous said...

Naona wanataka uvae gunia la mkaa ndio watajua kweli the light kachoka... hehehehe
Mdau UK.

Anonymous said...

hehehehehe watu wengine bwana jamani acheni chuki binfasi chenye kupendeza kipewe sifa zake jamani walimwenguuu mnamajungu sijapata kuona..nuru dear umependezaaa na nimependa ulivyomjibu huyo anony hapo juu...hata kama mtu unanunua cha sent 1 alimradi kinakupendezaaa...jamani tusiishi kwa vile flani ataniona nimevaa cheap live ur life!!!

Anonymous said...

Nuru looking Hot it's not H&M only u r simply Baeutiful hun. It doesn't mattter what u wear but how u wear it:)
Yous madau
finland

Anonymous said...

kazi mnayo mnaendekeza expensive stuff for "show off" I suggest anon wa pili aende akasome kitabu cha "Stop acting like a millionaire start living like one" Wenye pesa wana live a very simple life wasionazo sasa utawajua. Fanya kitu roho inapenda Nuru my dear. You look cute by the way.

Anonymous said...

unae uliza what she meant by being sponsored , what do u mean wewe mwenyewe kwanza?jameni waafrika nimeamini tuna roho za kwa nini, kha ishi uishivyo ukitaka kuwa sponsored na wewe bring ur ass kwa either popote unaotaka wape hints zako what do u want wakiridhika watachukua hawataki basi , tuache ushabiki usi na manufaa au majungu yasiyo na maana kha inaboa hongera nuru

NURU THE LIGHT said...

AHSANTENI SANA WADAU MLONIPA MAONI YENU NA WALE MLOWAJIBU KINA HAOOOO,,,.PAMOJAH WADAU WENZANGU

NURU THE LIGHT said...

YA MDAU WA A-TOWN MY EMAIL NI MAGRAMARY@GMAIL.COM....

Anonymous said...

hebu acha paranoia hapa usiulizwe swali? u/kasema outfit sponsored by h&m sijaelewa, nimeuliza. Shoot me.

Sab said...

Umependeza sana siku izi mpaka na mi nakuiga kuvaa majibangle ha ha ha ukiniona na ivyo nimeanza mazoezi loh.Love ur smili.Inabidi tuanza mada je kuvaa nguo ya gharama ndio kupendeza au unatafuta nguo yoyote ata kama si ya gharama ili mradi imekupendeza au mnademaje fans wa Nuru the light.

NURU THE LIGHT said...

ahsante sab n hii mada ntaifanyia kazi...,hongera kwa kuanza mazoezi ndio the right way to go instaed of diets n stuff just eat right and excercise bass inatosha...,

Anonymous said...

Nuru endelea kuwakilisha mwaya, you look sweet in whatever you throw on, and do you mean what that is, it means your beutiful hata ukivaa nguo za cent kama ulivyo sema, achana na huyo mkaanga sumu, na kama wivu umezidi na unamwagika , namuadvise anywe sumu ya mamba. Much luv

Anonymous said...

Looking fab Nuru, uko juu hun. xx

Anonymous said...

Hivi wewe unaekazana na hilo swali la sponsor manake nini inamaana kweli huelewi maana ya sponsor au huamini kwamba H&M wamemsponsor Nuru hebu acheni mambo yenu ya kinafiki tafadahali tumewachoka sana na unauliza kishari naomba uielewe kama ilivyo andikwa. Ndiyo wamemsponsor thats why ameandika hivyo. Hope umeelewa.