Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Thursday, May 6, 2010

MADA YA LEO..,

HIVI MTU AKIPENDEZA MACHONI KWAKO NI KIPI KINAKACHOKUFANYA UONE KAMA AMEPENDEZA?
MDAU SAB ALITOA MADA BAADA YA MDAU MMOJA KUSEMA KWAMBA NAPENDA SANA MAZAGAZAGA YA H&M AND THAT MIMI NI MCHUMI SANA NA NIKAMJIBU KUWA HATA INGEKUWA CENTI HAMSINI NINGEVAA MAANA SIONI CHA AJABU ILA MIMI MUHIMU KWANGU NI KUPENDEZA NA KURIDHISHA ROHO YANGU!

JE NINGEKUWA NIMEVVA GUCCI ANGESEMA HIVYO AU ANGENIAMBIA NI MASHAUZI TUUU????

NI KIPI MUHIMU KUVAA NGUO ZA MAJINA MAKUBWA NDIO KUPENDEZA AU KUVAA NGUO CHEAP NDIO KUPENDEZA?
kuna mtu utakuta anakusifia as long wakiona ni gucci au chanel jameni miMI napendezaga no matter what i wear maana hiyo ndo philosophy yangu na mtu ukishajua kupangilia mavazi yako hata uvae nini utatoka bomba tuuu.Mimi kila siku nawaambieni wadau humu kuwa mtu kuvaa kupendeza sio lazima uwe na mamilioni ila its about having YOUR OWN sense of fashion.Kuna mtu anavaa mtumba kuanzia juu mpaka chini na wewe ulovaa gucci ukikutana naye unabaki kumkodolea yeye macho maana kapangilia pamba zake kiasi kwamba wewe ndo unaonekana umevaa mitumba.
All in all kila mtu avae kwa uwezo wake na atapendeza kwa uwezo wake maana fashion za leo na hata miaka ile tunachoice nyingi sana za kuweza kuvaa na kutinga viwalo vyetu kama supastaa yoyote yule duniani usijiweke kwamba wewe uko chini wala nini...,
mimi nashangaa mtu anauliza kwanini unavaa topshop wakati VICTORIA BECKHAM ANAVAA NGUO KUTOKA TOPSHOP AU ZARA KWANI CHA AJABU NI NINI!!!
AU KWANINI MTANZANIA MWENZAKO AKIVAA DIOR ANA MASHAUZI ILA BEYONCE AKIVAA YEYE KATOKA CHICHA,HIVI SISI TUTAENDELEA LINI KAMA ROHO ZETU ZIMEJAA CHUKI BINAFSI...,
DADA ZANGU UKIONA MWANAMKE MWENZAKO KAPENDEZA MSIFIE NA KAMA UMEPENDA KIATU CHAKE MUULIZE KANUNUA WAPI INSTEAD OF HATING..,
NA KILA SIKU JUA KWANZA MWILI WAKO HALAFU UTAFUTIE NGUO YAKE NZURI NA UTOKE UPENDEZE HUKU UMERIDHISHA ROHO YAKO, HAO WATAOSEMA WATSEMA TUU AS LONG AS YOU ARE HAPPY WHETHER UMEVAA GUCCI AU MTUMBA TOKA ILALA..,

23 comments:

Anonymous said...

it does matter umeva designer au la.kama unajua kupangilia nguo yote heri

Anonymous said...

Asante sana Nuru kwa hii mada maana inachosha sana kila siku matusi tu hivi kweli tutaendelea lini?? Hebu kweli muulize mtu kato wapi kitu kama umependa na utajibiwa na ninauhakika watu wengi huwa wanamponda mtu wakiona kapendeza maana ndo zetu wabongo wivuuuuuuuuu umetujaaaa so saddddd Mungu atsaidie tupendane kwa kweli.

Anonymous said...

Nuru inaelekea hujiamini ndio maana unaona haja ya ku explain your actions kiasi hiki. Live your life, ukijali watu wanakufikiria au kukusema nini utakufa mapema umeamua kuwa na blog na kuanika picha zako so HANDLE it!

Medusa

NURU THE LIGHT said...

KAMA KUNA KITU NNASHKURU NNACHO MAISHANI MWANGU NI KUJIAMINI NA KAMA UNGEKUWA UNASOMA KILA CKU UNGEKUWA USHAJUA HILO NA NINGEKUWA SIJIAMNI NISINGEANIKA PICHA ZANGU HUMU SO DARLING IV GOT ALL THE CONFIDENCE I NEED SO YOU DONT NEED TO WORRY ABOUT THAT HII NI MADA AMBAYO MDAU WANGU WA KILA CKU SAB KATAKA NIIANDIKE SO HAMNA MORE THAN THAT NA MM SIJAONA KAMA NIMEEXPLAIN KIHIVYOOOOO MPAKA UKAHISI ROHO YANGU INAUMAAAA OR ANYTHIN..HALAFU NINGEKUWA NADANGANYA MWISHO WA CKU NDO HAOHAO MTAONICHEKA NA KUSEMA KALIKUWA KANATUDANGANYA KANAVAA GUCCI NA DUNIA YA LEO NA MA TV NA MTANDAO NI RAHISI SANA MTU KUJUA KAMA UNADANGANYA SO KUWA MKWELI NDO KULACK CONFIDENCE AUUUUUU...AU HAMPENDI WATU KUAMBIWA UKWELI MNAPENDWA KUDANGANYWA TU KILA CKU...,I THANK GOD EVERYDAY KUWA AM LIVING MY LIFE LIKE IS GOLDEN..,

Anonymous said...

Mie nina vaa ninachoona kinanipendeza na kinanisiti.. Sijalimkama nimeipata DISCOUNT STORE au maduka babkubwa! Ninavaa kitu roho inapenda na wala simvalii mtu!
Mtu akikutukana kutokana na mavazi shauri yake kwani ni maoni yake...kisha hainibadilishi mie kuwa yeye..

Tuache chuki jamani wapendwa...

Sab said...

Mimi kila siku nasema unakuta mtu ananunua nguo za madesign za bei kubwa tu alafu azimfit vizuri ila akivaa mitumba ya kariakoo anapendeza sana tena sana.mimi nadhani kupendeza sio lazima kuvaa nguo za gharama ata siku moja unaangalia shepu yako na nguo gani inakupendeza.mimi napenda sana mitumba ha ha ha pia nafikiri ndio uwezo wangu na napendeza tu na muuza mitumba wangu anajua kunitaftia nguo nzuri tu naridhika nazo.so girlz kujiamini tu sio kila nguo ya disigner inampendeza mtu

Unknown said...

uuuuuh mmmmmmmmmh xxxxxxxx tamuu.

Nuru umenifurahisha sana, hakuna fashion dunia hii kama ile kitu roho inapenda. hata uvae gunia, ukilipangilia vizuri utatoka mchicha kuliko huyo BEYONCE.
hizo uwa ni HUSDA za waja.
Hawapendi kumuona mtu kavaa kitu cha gharama, na akivaa cha bei nafuu mbahili. eeeh msitusumbue kama ziki si zenu?

Anonymous said...

mtoto fanya upendavyo, vaa utakavyo, waja hawachukuliki wana hila za Kinyonga kubadili muelekeo kila wakati, au hila za gari ya alarm kupiga kelele bila kuguswa?
hahahahah imekula kwao.
watajiju achana nao tena wamekosa bahati ndiyo maana wanahaha.
Wanaokereka wacha wakereke na waliovimba wacha wapasuke na safura zao.
MTOTO UNACHICHITIZA, HAHAHA HAIWI MACHO YAO KUYAONA YAKO TU, AU MASIKIO YAO KUSIKIZA YAKO TU!!

MAROGOOOOOOO
WATASHAAAAAA NA
HUSDA ZAO

hahahaha mwenyewe mama marogoooooo


disminder

NURU THE LIGHT said...

WELCOME BACK DISMINDERRRRRRRRRRRRR TUMEKUMISS WOOOOOO...,AND MEDUSA SIKUWEKA COMMENT YAKO MAANA NAONA MPAKA MWAKA KESHO HUTONIELEWA SO LETS LEAVE IT AT THAT...,WADAU WENGINE MLOCHANGIA MADA MANENO MAZURI SANAAAAAAA...,AHSANTENI

SAB NAOMBA HIYO HOOK-UP ALOOO MAANA LILE GAUNI LAKO CKU NILIKUONA LILIKUWA BOMBAAAA...,

Anonymous said...

personally mimi wezo wangu wa kawaida but hata ningekuwa na hela i dont think i could be that extravagant..naangalia uzuri wa kitu afterall not all designers are that of high quality madoido mengi tu na mie huwa na mix primark kidogo h&m na brand za kawaida as long as napendeza it doesnt matter at all.

nilikuandikia email nuru u never replied im heartbroken..J!

Disminder orig baby said...

mada tamu sana. Ukiwa msanii lazima upate test tofauti, utajua vipi maisha ya fans wako?
ebu mtoto fanya upendavyo, hata mume bibi huwezi kumpa style moja kila siku lazima ubadilishe, eeh si atakukimbia kwi kwi kwi kwi.
mchele mmoja mapishi kemkem na
mwili mmoja mavazi kemkem wewe na mpangilio wako tu.
hao ndiyo wale wanaovaa blaaa mpaka zikabadilika rangi achana nao kisa ..........

NURU THE LIGHT said...

anony sorry nilikuwa nimesafiri but ntazikalia hii weekend kuzifanyia kazi usijali mpenzi,,,

ruky said...

Na mishahara yetu hii hii ya kima cha chini cha jk bado watu wanatuletea story za dior. ushamba tu unatusumbua gucci zenyewe tumezijua juzi juzi tu halafu tunajifanya tumezaliwa nazo. vaa unachopenda wewe na ndani ya uwezo wako full stop ukisikiliza maneno ya watu unaweza ukalala mlango wazi bure.

Anonymous said...

NURU YOU KNOW SOME PEOPLE ARE THICK SORRY TO SAY THAT LAKINI NARUDIA CHA MUHIMU NI MTU KUJUA KUPANGILIA MAVAZI NA HAIJALISHI NI WAPI UMENUNUA BWANA. KUNA WATU WANAVAA NGUO ZA MARKET NA WANAPENDEZA SANA TU, KUNA WANAO VAA DESIGNER BUT MMMM UKIMWANGALIA ANAKUWA KACHEMKA SO CHA MUHIMU NI KUJUA MWILI WAKO UNAENDANA NA NINI NA HAIJALISHI NI WAPI UNANUNUA.

Anonymous said...

Dah hi mada kiboko ngoja nicheke kwanza maana Nuru umenigusa sana hapo na mdau uliye toa mada hii hongera sana. Sasa ni hivi kuna watu kupendeza ni kawaida yao hata wavae nini na kuna watu hawapendi kuona hivyo na hawatakai kukubali hilo kila saa utakuta mtu anatolewa kasoro mara hajapendeza mara sijui kavaa nguo ya primark, mara viatu vya primark ilimradi wamtoe kasoro na kukubali ukweli hawawezi, mi naona mtu akipendeza tumsifie haijalishi nguo katoa wapi n atukubali nakuiga hiyo mifano. Tuacheni chuki zisizo na maana. Na kitukingine ni unakuta mtu amechemka watu bado tu wanamsifia tena bora watu wa nje unakuta rafiki wake wa karibu ndo kakazana anamsifia lol!! Tuwe wakweli kama kweli tunapenda hao marafiki zetu na kuambiana ukweli kama mtu kavaa nguo, kachemka mwambie kwa uzuri labda atakuewlwa si wewe tu utake kupendeza kila siku!!!!!! TUPENDANE!!!! NAJUA NI NGUMGU KWA SOME HATERS KUKUBALIANA NAMI LAKINI THE BOTTOM LINE IS HATE NA WIVU WAKIJINGA HAZITUPELEKI POPOTE.

U-TURN said...

na wewe umeanza mambo ya mada madai yako unageza uturn utachanika msamba ulijidai ungeingilia ugomvi wa mange na devota kiko wapi wenyewe wamepatana nyau wewe huna lolote blog lenyewe limedoda halina kitu, hizo comment 15 zote umeandika mwenyewe

Anonymous said...

ya wanawake wa sikuhizi jamani hatupendani hasa, wewe nuru do what your heart wanna to do bana, achan na wakuda hao.watuache watu na mishepu yetu babu tuvae hata vitenge twapendeza tena sana tu.hata buibui lakupendeza watajijua walioanguka bafuni
haaaaaaooooooooooooooooooooooooo

Karen

NURU THE LIGHT said...

NAKUOMBA TENA NARUDIA WEWE UNAYEJIITA U-TURN MAANA NAJUA SI MANGE MWENYEWE SO TAFADHALI UKOME NA USIRUDIE TENA KULETA UCHAFU WAKO HUMU NDANI MAANA KAMA KUONGELEA MADA SIO MIMI WA KWANZA NA SITAKUWA WA MWISHO NA INAONYESHA KABISA WEWE SI MDAU WANGU ILA UMEKUJA HUKU KUCHAFUA MAZINGIRA MAANA KAMA UNGEKUWA MDAU WANGU KUANDIKA MADA NIMEANZA TOKA ZAMANI SO CHECK URSELF BEFORE U WRECK URSELF...,USWAHILI KAUPELEKE HUKOHUKO ULIPOTOKA USIULETE HAPA KABISA NA KOMA MAANA MIJITU KAMA NYINYI NDO WANAFKI NR 1 KUINGIA HUMU KUJIFANYA MNAYAJUA YASIYOWAHUSU NA KAMA WAMEPATANA THATS ALL GOOD TO ME KWANI NANI KATI YAO ALIKUWA ADUI YANGU!!!!
DADA TAFUTA LA KUFANYA INSTEAD OF COMING HERE AND COMMENTING ON VITU AMBAVYO HATA HAVIHUSU HII MADA NA MAMA YANGU ALINIAMBIA DONT EVER ARGUE WITH A FOOL...,NURU THE LIGHT OVER AND OUT...,

Anonymous said...

Nuru nakupenda sana dada yangu wsh uje uku u.k we spend together..kwanza umetoa point sana ndugu yangu hao ni mahater tu mtu mwingine unakuta kavaa Gucci full bt zote ni fake kutoka china...yaani huwa napenda sana ata ukiweka ur pics unakuwa mkweli umenunua wapi it does not matter nguo umenunua wapi n hw much wat it matters ni je imekupendeza haijakuvaa yaani n mpangilio kwa jumla ata n accesories dat z wat it matters by da way H&M wana swaga za ukweli haswaa za summer ndo usipime.me lov u much Nuru ur the best 4 ril

NURU THE LIGHT said...

hahahhah yaani nikija ntawajulisha this tym around and ahsante anony nashkuru kwa maneno yako na am a realist kabisaaaaa na h&m wako juu tena sanaaaaa

Anonymous said...

he he he he mmmh kazi ipo yani mtu kajiita U-turn ili ukasirike utukane mgombane na mange be carefully my dear, nimependa ulivyojibu. Wabongo sio siri bali ni ukweli mtupu vingi mnavyovaa vyatoka china ukiacha vile vya mtumba na sio really Gucci au majina makubwa kama mdhaniavyo mie nipo huku china wafanyabiashara kibao twaona wakibeba viatu na nguo , mikoba , wengine tunapishana na ndo hao hao wana maduka makubwa huko bongo,wachina ni noma ndugu na lebo wanaandika vizuri made in Uk. The really Gucci my dear are very expensive na hao kina beyonce sometimes wapewa ku advertise kwahiyo tuvae kulingana na uwezo wetu kama waweza nunua hiyo Gucci toka Us na vaa ila usisimange wenzio kwani kupendeza haiangalii umevaa lebo gani.

Anonymous said...

hehehe ngoja huyo aliyejiita U TURN naona ana hamu na ugomvi ama kuchonganisha watu hebu anitafute kidogo maana sijapigana na mtu tangu darasa la nne na huwa napenda sana watu wanaoacha mambo yao kuingilia wengine kuvuruga mambo yao mwaya we Nuru achana na huyo biscuit ya maji ....mimi ndio kiboko wa nyau wpote wanaofuatilia maisha ya watu.Hana lolote anatafuta umaarufu kama Nabii Tito apeleke zake an ataka kugombanisha watu na una bahati humu huwezi kuandika matusi na hamna inbox maana ningekutukana mpaka uombe kurudi tumboni kwa mama yako ...nimekasirika. MDAU KUTOKA U.K.

Anonymous said...

Pole mamii vaa upendavyo , be ure self dont dress up to impress others but dress up to impress urself, and to make ure self comfortable, na wewe unaejiita Uturn, umkome Nuru hana mambo hayo, wewe ni mmoja kati ya wale wazandiki, na nikikukamata utajua kuwa maharage ni mboga ya kiangazi, mczxissssssssssssss msonyooooooooo koma koma koma kama ulivyo koma nyonyo ya mamako, liangalie vile usituchafue sie ole wako nikutie mkononi hutorudia tena.

Ann