umependeza sana my Dear, kila la heri mtangulize mungu katika maisha yako ya ndoa. Tunakuombea heri ujaaliwe yaliyo mema. kuna wanaosema umeiga kila kitu kutoka kwa fulani achana nao hakuna kitu cha mmoja dudia hii hata limo wengi tu walishapanda ndio maana yalikuwepo kabla ya ndoa yake na yako. Kaa kimya my dear yatakwisha. haters wako wengi tu, nina miaka 32, mama yangu aliolewa na mzungu miaka 28 baada ya mimi kuzaliwa nae alimgeza?
7 comments:
oooh!I'm loving the colours!
oooh!I'm loving the colours!
Ya kwao DU yawenzao midomo JUU
umependeza sana my Dear, kila la heri mtangulize mungu katika maisha yako ya ndoa. Tunakuombea heri ujaaliwe yaliyo mema. kuna wanaosema umeiga kila kitu kutoka kwa fulani achana nao hakuna kitu cha mmoja dudia hii hata limo wengi tu walishapanda ndio maana yalikuwepo kabla ya ndoa yake na yako. Kaa kimya my dear yatakwisha. haters wako wengi tu, nina miaka 32, mama yangu aliolewa na mzungu miaka 28 baada ya mimi kuzaliwa nae alimgeza?
akanana akanana kaile kona,
akaile akaile ni keogola,
omwana alimwiza chane, omuzungu full kudatishwaring.
UN-TOUCHABLE
Wee un-touchable umenichekesha vibaya sana, kwa kweli akanana kaile kona!!!
Jamani naombeni namba ya simu ya hao watu wenye limo, harusi yangu soon please... thanx
Post a Comment